kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Wadau nimekuwa nafuatilia namna jirani zetu Wa Kenya walivyofanikiwa kupata Katiba yao.Wakenya Katiba yao imeandaliwa na wasomi , Taasisi na mashirika mbalimbali ila VYAMA vya Siasa havikushirikishwa.Kinyume na hapa kwetu Mchakato Wa Katiba unaandaliwa na CCM na wajumbe wake wanateuliwa na CCM na Bunge la Katiba Wabunge wake ni Wa CCM je katiba itakayopatikana ni Lazima iwe ya Kichama zaidi.Nashauri ili kumwacha Rais wetu kazi ya kupambana na MAFISADI na maovu mbalimbali pekee yake ni vema tukawa na katiba itakayoandaliwa na Wasomi mashirika na Asasi mbalimbali badala ya VYAMA vya Siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app