joika
Member
- Aug 31, 2010
- 37
- 7
Habari wana JF.
Kila mwananchi kwa sasa kilio ni katiba mpya, mbali na Tume kuundwa tutawezeja kuhakikisha kila mwananchi anaifahamu katiba ya zamani na kufanya maamuzi ya msingi. Siyo sisi wenye upeo wa kuipata na kuisoma tufanye maamuzi tu. Serikali ichapishe majarada hata 3 ndani ya magazeti wa serikali.
Kila mwananchi kwa sasa kilio ni katiba mpya, mbali na Tume kuundwa tutawezeja kuhakikisha kila mwananchi anaifahamu katiba ya zamani na kufanya maamuzi ya msingi. Siyo sisi wenye upeo wa kuipata na kuisoma tufanye maamuzi tu. Serikali ichapishe majarada hata 3 ndani ya magazeti wa serikali.