babascarret
Member
- Jul 12, 2014
- 31
- 6
Mr president amesema UKAWA wametoka bungeni kwa sababu hawajaona maslai yao thus means ccm wameyaona maslai yao ndio maana wanang'ang'ania serikal mbili. Kazi ipo
Ingewapasa UKAWA waendelee kuchangia hoja zao Hapo bungeni ili mwisho was siku watuletee sisi wananchi wa chini tupige kura . kama walishiliki katika kutunga kanuni na wakapewa muda wa kusoma maoni ya wachache na wakapewa mud a wa kuyatafsili nini sababu kubwa ya wao watoke na kama wana mapenzi mazuri na nchi yetu ni kwanini wanakubali kuchukua posh?
Mr president amesema UKAWA wametoka bungeni kwa sababu hawajaona maslai yao thus means ccm wameyaona maslai yao ndio maana wanang'ang'ania serikal mbili. Kazi ipo