Katiba mpya sawa, lakini hii ya USA Hapana

Katiba mpya sawa, lakini hii ya USA Hapana

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,359
Reaction score
15,089
Hii Katiba ya Marekani kwa kweli kwangu mimi ni moja kati ya Katiba mbovu sijapata kuona na huwa nashangaa sana nchi nyingi masikini wanavyoiiga.

Hivi majuzi nilipigwa na butwaa pale nilipoona raisi wa nchi ya Marekani hana cha kufanya na kubaki kujitetea tu kwenye vyombo vya habari pale ambapo Bunge la nchi hiyo lilivyoamua kumualika na kumruhusu Mkuu wa nchi ya Israeli, Bw. Netanyahu kuhutubia Bunge la Marekani ingawaje raisi wa nchi Bw. Obama alikataa na hakuhusishwa.

Hii hali imenishangaza sana kwa kweli sasa huyu Rais wa Marekani kazi yake ni ipi? Je hana nguvu yoyote? Ni nani alimpa VIZA huyu Netanyahu? Na je waliompa VIZA ni nani Bosi wao? Na je nguvu yake ni kuongea tu kwenye vyombo vya Habari?

Kwa kweli tuige yote lakini Katiba kama hii hapa Bongo nasema HAPANA KUBWA, sipati picha yaani Bunge la TZ limualike Rais Kagame kuja kulihutubia bila kumwambia raisi wa JMT na hilo lifanyike na Rais wa JMT asiwe na la kufanya, hii kwangu ni HAPANA.
 
Hii Katiba ya Marekani kwa kweli kwangu mimi ni moja kati ya Katiba mbovu sijapata kuona na huwa nashangaa sana nchi nyingi masikini wanavyoiiga, hivi majuzi nilipigwa na butwaa pale nilipoona raisi wa nchi ya Marekani hana cha kufanya na kubaki kujitetea tu kwenye vyombo vya habari pale ambapo Bunge la nchi hiyo lilivyoamua kumualika na kumruhusu Mkuu wa nchi ya Israeli Bw.Netanyahu kuhutubia Bunge la Marekani ingawaje raisi wa nchi Bw.obama alikataa na hakuhusishwa!

Hii hali imenishangaza sana kwa kweli sasa huyu raisi wa Marekani kazi yake ni ipi? Je hana nguvu yoyote? Ni nani alimpa VIZA huyu Netanyahu? Na je waliompa VIZA ni nani Bosi wao? Na je nguvu yake ni kuongea tu kwenye vyombo vya Habari?

Kwa kweli tuige yote lkn Katiba kama hii hapa Bongo nasema HAPANA KUBWA, sipati picha yaani Bunge la TZ limualike Raisi Kagame kuja kulihutubia bila kumwambia raisi wa JMT na hilo lifanyike na Raisi wa JMT asiwe na la kufanya, hii kwangu ni HAPANA!

Mmezoea vya kunyonga, vya kuchinjwa hamviwezi. Rais hawezi kumzuia mkuu mwingine wa nchi kirahisi kama unavyodhani, ingekuwa hivyo marais au viongozi wa nchi za magharibi wasingekanyaga nchi kama Iran, Syria, Iraq etc.

Hivi kumbe kwa katiba ya Tanzania, rais ndiye anayetoa VIZA!

Katiba ya USA ina miaka zaidi ya mia mbili na haihitaji kubadilishwa hivi karibuni; Kwa taarifa yako kinachokushangaza wewe ndio hicho wananchi wa Tanzania wangetamani kiwemo kwa katiba mpya, kinaitwa "SEPARATION OF POWER" kikiakisi msingi wa "CHECK AND BALANCE"
 
mmezoea vya kunyonga, vya kuchinjwa hamviwezi.
rais hawezi kumzuia mkuu mwingine wa nchi kirahisi kama unavyodhani, ingekuwa hivyo marais au viongozi wa nchi za magharibi wasingekanyaga nchi kama Iran, Syria, Iraq etc.

hivi kumbe kwa katiba ya Tanzania, rais ndiye anayetoa VIZA!

katiba ya USA ina miaka zaidi ya mia mbili na haihitaji kubadilishwa hivi karibuni; kwa taarifa yako kinachokushangaza wewe ndio hicho wananchi wa Tanzania wangetamani kiwemo kwa katiba mpya, kinaitwa "SEPARATION OF POWER" kikiakisi msingi wa "CHECK AND BALANCE"

Una uhakika na unachokiandika? Unafikiri kama raisi wa JMT akikataa Raisi Kagame asije TZ kuna wa kumruhusu kuja?

Unafikiri raisi Obama anaweza kuamua kwenda Irani bila Kiongozi wa nchi ya Irani kukubali?
Kama ni hivyo ni kwanini raisi wa Bolivia Evo Morales alikataliwa kutumia air space ya za Italia, Uhispania na

Ufaransa wakati anatoka Urusi kwenye Mkutano?
Na ni kwanini raisi Mugabe amekatazwa kuja nchi za ulaya? Unafikiri leo hii Mugabe anaweza kuamua tu kwenda kutembelea nchi za ulaya wakati amepigwa marufuku?
 
Hii Katiba ya Marekani kwa kweli kwangu mimi ni moja kati ya Katiba mbovu sijapata kuona na huwa nashangaa sana nchi nyingi masikini wanavyoiiga, hivi majuzi nilipigwa na butwaa pale nilipoona raisi wa nchi ya Marekani hana cha kufanya na kubaki kujitetea tu kwenye vyombo vya habari pale ambapo Bunge la nchi hiyo lilivyoamua kumualika na kumruhusu Mkuu wa nchi ya Israeli Bw.Netanyahu kuhutubia Bunge la Marekani ingawaje raisi wa nchi Bw.obama alikataa na hakuhusishwa!

Hii hali imenishangaza sana kwa kweli sasa huyu raisi wa Marekani kazi yake ni ipi? Je hana nguvu yoyote? Ni nani alimpa VIZA huyu Netanyahu? Na je waliompa VIZA ni nani Bosi wao? Na je nguvu yake ni kuongea tu kwenye vyombo vya Habari?

Kwa kweli tuige yote lkn Katiba kama hii hapa Bongo nasema HAPANA KUBWA, sipati picha yaani Bunge la TZ limualike Raisi Kagame kuja kulihutubia bila kumwambia raisi wa JMT na hilo lifanyike na Raisi wa JMT asiwe na la kufanya, hii kwangu ni HAPANA!

Ya kwao hayo, tunayo yetu mengi sana tena ya level ya kawaida yametushinda. Tusipotezee muda huko
 
Hii Katiba ya Marekani kwa kweli kwangu mimi ni moja kati ya Katiba mbovu sijapata kuona na huwa nashangaa sana nchi nyingi masikini wanavyoiiga, hivi majuzi nilipigwa na butwaa pale nilipoona raisi wa nchi ya Marekani hana cha kufanya na kubaki kujitetea tu kwenye vyombo vya habari pale ambapo Bunge la nchi hiyo lilivyoamua kumualika na kumruhusu Mkuu wa nchi ya Israeli Bw.Netanyahu kuhutubia Bunge la Marekani ingawaje raisi wa nchi Bw.obama alikataa na hakuhusishwa!

Hii hali imenishangaza sana kwa kweli sasa huyu raisi wa Marekani kazi yake ni ipi? Je hana nguvu yoyote? Ni nani alimpa VIZA huyu Netanyahu? Na je waliompa VIZA ni nani Bosi wao? Na je nguvu yake ni kuongea tu kwenye vyombo vya Habari?

Kwa kweli tuige yote lkn Katiba kama hii hapa Bongo nasema HAPANA KUBWA, sipati picha yaani Bunge la TZ limualike Raisi Kagame kuja kulihutubia bila kumwambia raisi wa JMT na hilo lifanyike na Raisi wa JMT asiwe na la kufanya, hii kwangu ni HAPANA!

Pole sana mkuu.Umelemazwa sana na mifumo mibovu ya kiutawala tuliyonayo na kutokuwepo taasisi imara zinazojiendesha.Obama na chama chake hawakupendezwa kufanyika kwa ziara ya kiongozi mkubwa kama yule(kwa USA,kıongozi wa Israel ana heshma kubwa) bila kutaarifu IKULU.Lakn taratibu zote za kikatiba na kisheria ikiwemo kupewa goahead toka vyombo vya dola.Hata hvyo hangeweza kwenda au kupata mwaliko wa Ikulu sababu sheria zao haziruhusu kiongozi ambaye nchi yake inaelekea kwenye uchaguzi karıbuni(Israel watakuwa na uchaguzi punde), wanaepuka kuonekana kuwa sided na upande flani kwenye uchaguzi.Lakn pıa mabaraza yote ya uwakilishi USA yanadhbtıwa na Republıcans na hawa niwapenda shari sawa na alivyo Netanyau na Lıkud yake.Ilani imo ndani ya target hawa jamaa wakikamata madaraka na ndo kusudio la ziara ile.
 
Hii Katiba ya Marekani kwa kweli kwangu mimi ni moja kati ya Katiba mbovu sijapata kuona na huwa nashangaa sana nchi nyingi masikini wanavyoiiga. Hivi majuzi nilipigwa na butwaa pale nilipoona raisi wa nchi ya Marekani hana cha kufanya na kubaki kujitetea tu kwenye vyombo vya habari pale ambapo Bunge la nchi hiyo lilivyoamua kumualika na kumruhusu Mkuu wa nchi ya Israeli, Bw. Netanyahu kuhutubia Bunge la Marekani ingawaje raisi wa nchi Bw. Obama alikataa na hakuhusishwa!

Hii hali imenishangaza sana kwa kweli sasa huyu Rais wa Marekani kazi yake ni ipi? Je hana nguvu yoyote? Ni nani alimpa VIZA huyu Netanyahu? Na je waliompa VIZA ni nani Bosi wao? Na je nguvu yake ni kuongea tu kwenye vyombo vya Habari?

Kwa kweli tuige yote lakini Katiba kama hii hapa Bongo nasema HAPANA KUBWA, sipati picha yaani Bunge la TZ limualike Rais Kagame kuja kulihutubia bila kumwambia raisi wa JMT na hilo lifanyike na Rais wa JMT asiwe na la kufanya, hii kwangu ni HAPANA!

Kuona umuhimu au superiority ya katiba ya marekani over the other katiba lazima uwe umekombolewa na fikra za ufalme/kutawaliwa/mfumo dume. That is the real democracy. hapa JK ni Mungu anaweza fanya lolote bila kuulizwa. Anawea tangaza budget bila kupitia ruhusa ya bunge etc.
 
Na si ndiyo maana wakubali hata kuongozwa na mtu mweusi kwa sababu ya mazingira kama hayo...lol
 
Back
Top Bottom