Wananchi siyo mbumbumbu kiasi hicho unachowaza! Ushahidi ni wakati wa Tume ya Katiba ya Jaji Warioba ilipozunguka Nchi nzima kukusanya maoni kwa wananchi!
Wananchi hawa hawa unao wachukulia kama wajinga na wasio na uelewa wowote ule, walitoa maoni yao kwa uwazi! Na ndipo ilipokuja kuzaliwa ile Rasimu ya Katiba, iliyo ishia mikononi mwa wanasiasa kutoka ccm na ukawa.