Katiba mpya ni muhimu sana tuna katiba ya sasa tangu uhuru kwa takribani miaka 50 sasa hivyo ni kweli katiba inahitajika kunasheria nyingi za kikoloni zimepitwa na wakati hivyo katiba ni muhimu sana ,ndugu Warioba na tume ifanyekazi kwa niaba ya watanzania binafsi mwenyekiti Warioba ni mwaminifu na mtu mwenye uchungu nataifa hili haongeki kirahisi ni mwanafunzi wa mwl katika siasa za tanzania swala la tume kuwa na wajumbe nusu kwa nusu nikweli halina shida sana swala la waislamu wengi siyo shida ila hata wa wakristo wangekuwa wengi baadhi ya watu wengilalamika hivyoMtei hajakosa haki kuongelea hili ana hoja walio mkosoa hawana hoja na ni watoto ktk kufikiri mapendekezo yangu:1muungano uendee, kama ulivyo lkn raisi wa zanzibar awe ndiye makamu wa muungano,bilakujali chama chake 2kuwe na tume huru ya uchaguzi wateuliwe na bunge waombe nafasi zakazi na wapigiwe kura na wabunge wote3 madaraka ya raisi asiteuwe watu muhimu mfano jaji ,raisi asiwe na kinga akisha acha uraisi .4 kusiwe na wakuu wa mikoa na wilaya hizi ni nafasi za siasa zina haribu uchumi wa nchi 5wake na watoto za viongozi hasa raisi wajiingize kwenye siasa .ok tuendelee kutoa maoni