Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ni lazima sii hiyari, tudai vyote

Nadhani kwa sasa Agenda kuu ya vyama vya upinzani sio katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi

Agenda kubwa walizonazo ambazo ni za muhimu sana kwa wao kwenda ikulu ni njaa na swala la vyeti feki

Endeleeni hivyo hivyo na movement ya cheti cha mtu mmoja adi ikifika 2019 ndio mtajua nini maana ya sera na mikakati ya kuchukua nchi

RAPHAEL LUKINDO
0765499321
Wataongelea wapi angali washazibwa midomo... Wapewe uhuru wa kuongea ndo tutajua wanaajenda gani na sera gani. Naimani pindi wapinzaani wakipata nafasi ya uhuru bila nguvu za polisi basi tutasikia mengi hata tusiyo yadhania
 
Ni kweli kabisa unachosema nkongu ndasu, lakini vile vile tukumbuke kuwa hata huku kuanza kwa mchakato wa uundwaji wa katiba mpya, haukuanza kwa 'mapenzi' ya CCM, bali ilitokana na shinikizo kubwa sana, kutoka kwa makundi mbalimbali ya kisiasa na kijamii.

Kwa maana hiyo basi , let's hope for the best, the same spirit which enabled our country to 'launch' starting 'fetching' the path of having new constitution, can also enable us having 'real' National Electoral Commission!
Ni kweli kabisa unachosema nkongu ndasu, lakini vile vile tukumbuke kuwa hata huku kuanza kwa mchakato wa uundwaji wa katiba mpya, haukuanza kwa 'mapenzi' ya CCM, bali ilitokana na shinikizo kubwa sana, kutoka kwa makundi mbalimbali ya kisiasa na kijamii.

Kwa maana hiyo basi , let's hope for the best, the same spirit which enabled our country to 'launch' starting 'fetching' the path of having new constitution, can also enable us having 'real' National Electoral Commission!
 
Nimekuwa nikifatilia sana mnyukano uliopo kati ya vyama vya upinzani na chama tawala, ni dhahiri kwamba ili kufikia demokrasia ya kweli, kitu cha kwanza kabisa kupamnana nacho ni kupata katiba mpya na si madaraka, ni muda wa kukaa chini na kubadilisha strategies za kupambana, kwa sasa kuna madhaifu mengi sana kwenye uongozi kuliko kipindi chochote kile tangu kuzaliwa kwetu, tumieni mwanya huo.

-Katiba ya sasa inamruhusu mkuu wa nchi kuwateua wakurugenzi ambao ndo wasimamizi wakuu wa chaguzi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Mawziri na manaibu wao
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Wakuu wa mikoa na wilaya
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Mabalozi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Makati wakuu
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua wabunge 10
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkuu wa majeshi na jeshi la polisi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkuu wa Idara ya usalama
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkurugenzi pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchagauzi n.k

Je katika hili mnategemea miujiza?
kama kweli mna nia ya dhati ya kusaidia nchi kutoka hapa tulipo kwanini priority isiwe katiba mpya?

Mnashindwa kutengeneza mpango wa kuwaunganisha watanzania waanza kudai katiba mpya?
Mnashindwa kutengeneza move nzuri ya kubadilisha upepo wa siasa za nchi yetu?
Mnashindwa kuja na mkakati wa kuchange model yenu ya siasa na kuintroduce modern political model ambayo wameitumia Togo na Ghana?

Mnataka tuwaamini vp?

Kama kweli mna nia ya dhati, ni kwanini msijiunge mkatengeneza chama kikuu kimoja cha upinzani chenye nguvu na ushawishi kama kweli lengo ni kuwaondoa ccm? Mnakwama wapi?

Watu wanapoteza imani sana sababu ya mikakati mibovu iliyolenga madaraka badala ya ukombozi wa kweli.

MUDA BADO UPO KABLA YA 2020 INGAWA SI SANA, MNA KILA SABABU YA KUITANA NA KUPANGA MPANGO WA DHARURA, IF POSSIBLE PANDIKIZENI WATU KAMA NCHI MBALMBALI ZILIVYOFANYA. HAWA HAWAKO TAYARI KUACHIA MADARAKA KWA NJIA YA KURA HATA IWEJE, NI LAZIMA KUTUMIA AKILI NYINGI KUWAONDOA, NI LAZIMA UFANYIKE MKAKATI WA PAMOJA, NI LAZIMA MSHIRIKISHE WATU MBALIMBALI TENA KIPINDI HIKI NDO KIZURI WAKATI AMBAO SINTOFAHAMU NI NYINGI KULIKO WAKATI WOWOTE.
Dar es salaam Tanzania

By James Mwamoyo
 
Hiyo katiba itasaidia nini kama wenyewe wanateka watu, nani wants kuisimamia
 
Chama la mashetani lile.Yani hata kiongozi wao hana aibu na jinsi amekuwa akiomba aombewe wakati yeye ndo anaongoza kwa ushetani.Ila kila jambo lina mwisho wake.Tunajua Mungu yuko upande wetu bado.
 
Wanzania wengi wana upungufu wa ufahamu, move walioifanya Togo inatakiwa kuwa fundisho kwa wanachi wake, Katiba ndo msingi mama, yanayofanyka leo yanafanyika sababu wale wote wanayoyatekeleza ni wateule wa yule tunayetaka apunguziwe madaraka alafu uone kama haya mambo yataendelea kutokea. bila kufanya hivi sahahu kabisa.
 
Sio mimi tu,tuko kama milioni kadhaa tulioapa hatutapiga kura katika uchaguzi wowote pasipo katiba yenye kutambua usawa.
 
Tunatakiwa kuanzisha move kubwa across the country kuanzisha mchakato wa kudai haya mambo, katiba mpya ni jicho na dira ya nchi mpya, hii nchi ina potentials nyingi ila watu hawajitabui kabisa na ndo maana asilimia kubwa ya watanzania wanaishi below the poverty line, we need to change this asap
 
Nimekuwa nikifatilia sana mnyukano uliopo kati ya vyama vya upinzani na chama tawala, ni dhahiri kwamba ili kufikia demokrasia ya kweli, kitu cha kwanza kabisa kupamnana nacho ni kupata katiba mpya na si madaraka, ni muda wa kukaa chini na kubadilisha strategies za kupambana, kwa sasa kuna madhaifu mengi sana kwenye uongozi kuliko kipindi chochote kile tangu kuzaliwa kwetu, tumieni mwanya huo.

-Katiba ya sasa inamruhusu mkuu wa nchi kuwateua wakurugenzi ambao ndo wasimamizi wakuu wa chaguzi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Mawziri na manaibu wao
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Wakuu wa mikoa na wilaya
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Mabalozi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua Makati wakuu
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kuwateua wabunge 10
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkuu wa majeshi na jeshi la polisi
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkuu wa Idara ya usalama
-Katiba yetu anampa mamlaka mkuu wa nchi kumteua mkurugenzi pamoja na mwenyekiti wa tume ya uchagauzi n.k

Je katika hili mnategemea miujiza?
kama kweli mna nia ya dhati ya kusaidia nchi kutoka hapa tulipo kwanini priority isiwe katiba mpya?

Mnashindwa kutengeneza mpango wa kuwaunganisha watanzania waanza kudai katiba mpya?
Mnashindwa kutengeneza move nzuri ya kubadilisha upepo wa siasa za nchi yetu?
Mnashindwa kuja na mkakati wa kuchange model yenu ya siasa na kuintroduce modern political model ambayo wameitumia Togo na Ghana?

Mnataka tuwaamini vp?

Kama kweli mna nia ya dhati, ni kwanini msijiunge mkatengeneza chama kikuu kimoja cha upinzani chenye nguvu na ushawishi kama kweli lengo ni kuwaondoa ccm? Mnakwama wapi?

Watu wanapoteza imani sana sababu ya mikakati mibovu iliyolenga madaraka badala ya ukombozi wa kweli.

MUDA BADO UPO KABLA YA 2020 INGAWA SI SANA, MNA KILA SABABU YA KUITANA NA KUPANGA MPANGO WA DHARURA, IF POSSIBLE PANDIKIZENI WATU KAMA NCHI MBALMBALI ZILIVYOFANYA. HAWA HAWAKO TAYARI KUACHIA MADARAKA KWA NJIA YA KURA HATA IWEJE, NI LAZIMA KUTUMIA AKILI NYINGI KUWAONDOA, NI LAZIMA UFANYIKE MKAKATI WA PAMOJA, NI LAZIMA MSHIRIKISHE WATU MBALIMBALI TENA KIPINDI HIKI NDO KIZURI WAKATI AMBAO SINTOFAHAMU NI NYINGI KULIKO WAKATI WOWOTE.
Dar es salaam Tanzania

By James Mwamoyo
Luckman. Ungeleta kwanza updates za uchaguzi mdogo wa madiwani kata 43.
CCM imechukua viti vingapi
CDM viti vingapi
CUF viti vingapi
ACT wazalendo viti vingapi
ADC viti vingapi
CHAUMA viti vingapi......then tuanze kudai Katiba mpya
 
kWA SASA KAMA UNATAKA KUFA AU KUPIGWA RISASI FANYA SIASA NJE YA CCM. NYAKATI ZIMEBADILIKA SANA! HUYU WA SASA HATA KATIBA SIYO KIPAUMBELE CHAKE.
 
Upinzani hauna dira, kwa sasa hata kichaa anajua kwamba ni ndoto upinzani kuongoza nchi hii, na kwa hili wasahau kabisa kushika Dola 2020 na hata majimbo mengi ya wabunge watayakosa, na wengi watahamia ccm ambako wanauhakika wa kushinda.
 
Back
Top Bottom