Yaani ndg yangu Chakaza haya matokea ya udiwani ndio yanakutoa roho? Kwa kweli kwa hali ilivyosasa ningeshangaa kuona chama cha upinzani kinashida huu uchaguzi wa madiwani achilia mbali dimani.Kulalamika kupo kwa aina mbili. Makosa ya kiutendaji na kulazimisha ushindi kwa watawala.
Huku kwetu ni watawala kulazimisha ushindi kwao kwa kupindua matokeo au kutoweka mazingira sawa ya ushindani. Kwa vile inaonekana hapa kwetu wimbo wa Tume huru umeshindikana na hakuna njia ya kuwalazimisha basi tuombe msaada kutoka kwa wenye ubavu wa kulazimisha.
Ni kweli, maana njia sahihi ya wananchi kuidai jambo serikali yao ni maandamano ya amani lakini ushahidi upo na dunia nzima iliona wakati wa Ukuta. Kuwa majeshi na zana zao walijiandaa kuua wananchi wake. Jee mpaka wauwawe wakati wao wafadhili wanaweza kuilazimisha kujenga demokrasia kwa njia ambayo itaepusha vifo?Mbowe mimi namlaumu kwa kutofanya kazi kuendana na mazingira. Njia ya amani ni kuomba international agencies kuingilia kati uminywaji wa democrasia tanzania
kwani tume ya uchaguzi iliyowatangaza wapinzani kua washindi wa ubunge na udiwani sehemu mbalimbali niipi nahyo unayosema sio huru niipi au ili iwe huru ungetaka iwatangaze tu wapinzani hata kama hawajashindaWatani zangu CHADEMA/UKAWA poleni sana kwa kipigo tulichowapa kwenye uchaguzi wa Marudio sehemu mbalimbali Tanzania. Jueni haya na myafanyie kazi:
1.Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina matatizo makubwa kimuundo na kiutendaji
2.Tume ya Taifa ya Uchaguzi si huru
3.Tume ya Taifa ya Uchaguzi 'kuunganishwa', wakati wa uchaguzi, na Serikali (Wakurugenzi) ni jambo kubwa na la kuwaminya wapinzani.
4.Wananchi 'hawaichagui CCM'; wanatangaziwa mshindi kuwa ni CCM
5.Mnazungumza mambo mengi na ya msingi,mnapaswa kubadili cha kukisemea
6.Ukikosa kuku mzima, pata hata kidali tu (pambanieni Tume huru ya Uchaguzi) kimuundo na kiutendaji
7.Msiumie sana kwakuwa kila mmoja ametetea Jimbo, Kata, mtaa au kijiji chake. Si sisi CCM wala nyinyi UKAWA mlionyang'anya toka kwa mwingine.
8.Kwa mfumo wa uchaguzi ulivyo hapa Tanzania, haitatokea wapinzani 'kutufunika' CCM
Mwafaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Sasa nini kifanyike kuipata hiyo tume huru?Binti yangu Tetty ,Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikiwa huru, hayo mengine yote yanajirekebisha yenyewe
Mzee Tupatupa
Tafuta katiba ya Gambia na ya Ghana uone Tume zao za uchaguzi zinaundwaje. Hapa kwetu msimamizi wa uchaguzi yaani DED unakuta ni yule ambaye kuteuliwa kwake nafasi hiyo ni baada ya kushindwa Ubunge kwa tiketi ya ccm na wakati anatimiza majukumu yake waweza kukuta kavaa shati na kijani na kofia imeandikwa Chagua ccmYaani ndg yangu Chakaza haya matokea ya udiwani ndio yanakutoa roho? Kwa kweli kwa hali ilivyosasa ningeshangaa kuona chama cha upinzani kinashida huu uchaguzi wa madiwani achilia mbali dimani.
Naomba kuuliza hivi tume ya uchaguzi ya Gambia ipo huru au hapana? Au tume ya uchaguzi ya Ghana ?
Baba uliyaona yale mazoezi ya Polisi kule Dodoma na ya Sirro Dar eti wanasubiri waandamanaji? Nani atakubali mwanae aende akaandamane kwa amani kudai tume huru ya Uchaguzi? Hapo hakuna jinsi ni kumwambia Trump zuia MCC hadi tume iundwe baba. Bora nusu shari kuliko shari kamiliAcha uoga mkuu nyumba ya kwako unatafuta jirani aje akuulie nyoka
Hiyo shida itakuwa ya muda tuu lakini matokeo ni ya kudumu.,SASA WAKIKATA MISAADA WANAMKOMOA NANI?TUMIA AKILI KUFIKIRI,HALAFU HAO WAZUNGU NDIO MUNGU WETU?AYAAAAAA WEEE VIP UMEBENDWA NINI?
Ndugu nenda taratibu. Jamaa wa Ukawa hawakawii. Unaposema adui yao ni Tume Huru ya Uchaguzi, kesho utakuta tayari wana t-shirts za "OPARESHENI CHANA KADI ZA KUPIGIA KURA"!Mzee tupatupa umeongea ukweli mtupu...binafsi nimefurahi upinzani kupokea kichapo kwenye huu uchaguzi ili wajifunze vizuri kuwa adui yao sio CCM, adui yao ni tume isiyo huru kama hii ya sasa....wapiganie tume isiyo na wakurugenzi kama returning officers na mwenyekiti ambaye anachaguliwa na rais
Kwahiyo wanateuliwa na nani?Ambayo watendaji wake Wakuu hawateuliwi na Mwenyekiti wa CCM Taifa chini ya mwamvuli wa Raisi
Ikikaa itokee hili na mimi natangaza niaHongera kwa
Nafikiria tunachohitaji ni Tume Huru,Mahakama Huru,Tume ya Vyama vya siasa huru,Polisi huru na Bunge huru,tukiweza kuvipata hivi Tanzaaia itakuwa huru