ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Kwa hali ilivyo sasa ni ndoto ya mwendawazimu kupata katiba mpya achilia mbali iliyo bora,tatizo ni pale wajumbe walio wengi walipokataa mapendekezo ya tume( wana haki).kwa maini Yang rasimu imejengwa juu ya msingi wa serikali 3.ukitaka tofauti na hivyo inabidi uachane na rasimu an za mchakato mpya kabisa kwani msingi wa serikali 3 umeathiri ibara takriban 87.lakini pia haina sura za mambo yasiyo ya muungano,hebu niambieni wajuzi mnawezaje kufumua ibara 87 halafu isitoshe muongeze sura za washirika,halafu mjadiliane mpaka muafikiane hata tukiwapa mwaka hawawezi kutuletea katiba yoyote(sizungumzii kabisa ubora),lakini ni kawaida watanzania Kuota na tuendelee Kuota,NDOTO YA MWENDAWAZIMU