h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,532
- 3,318
Itakuwa jambo la busara na la hekima kama katiba mpya itaweka misumeno mikali ya kuwachinja mafisadi wote na wahujumu wa nchi hii wanaotafuna kodi za watanzania katika viti vyao vya kuzunguka.Wanyongwe mpaka wafe hapo mafisadi watapungua na tutawasikia kwenye bomba tu.