kintu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 542
- 136
Humphrey Polepole yupo live Channel Ten akiichambua Rasimu ya BMK
1.Asema Mgombea Uhuru imewekewa masharti mengi ni sawa na hakuna.
2.Rais Kapewa Madaraka Mengi.
3.Wakuu wa Mikoa wamerudishwa na watateuliwa na Rais.
4.Pia Anachambua 50 kwa 50 , anasemea wanawake wasifurahi mapema kabla ya kujiridhisha na taratibu.
5....
Watu wamepiga simu, mmoja kutoka Zanzibar anasema kwa mzanzibari mwenye akiri timamu hawezi kuikuibali Rasimu ya BMK.
1.Asema Mgombea Uhuru imewekewa masharti mengi ni sawa na hakuna.
2.Rais Kapewa Madaraka Mengi.
3.Wakuu wa Mikoa wamerudishwa na watateuliwa na Rais.
4.Pia Anachambua 50 kwa 50 , anasemea wanawake wasifurahi mapema kabla ya kujiridhisha na taratibu.
5....
Watu wamepiga simu, mmoja kutoka Zanzibar anasema kwa mzanzibari mwenye akiri timamu hawezi kuikuibali Rasimu ya BMK.