Mpuuz mwenyewe!Hutaki maendeleo ee!
Mungu saidia huu muunganiko ili CCM itoke madarakani!...what a favor from God. Imagine hivi vyama vinge achiana majimbo, pale ambapo candidate mmoja wao ni strong then apate support ya vyama vyote. Adui mkuu ni CCM sote tuungane kumwangamiza
Hii ilikuwa leo katika hotel ya Courtyard Dsm , wameamua kuweka wazi juu ya katiba na mwelekeo wa pamoja.
Wenyeviti wa vyama vya Siasa vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi leo wamekukutana na wahariri na waandishi wa habari kueleza mikakati na mbinu watakazozitumia kunusuru taifa lisiingie kwenye utungaji wa Katiba mpya itakayobeba masilahi ya chama tawala.
Taarifa zaidi za kilichoongelewa zitafuatia