AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,501
- 189
IBARA YA 55 INAMRUHUSU RAISI KUMTEUA MBATIA KAMA WAZIRI NA KAMA ATAKUWA NAIBU WAZIRI KAMA INAVYOSEMEKAKA NGUVU YAKE ITAKUUWA NDOGO KWANA HATAKUWA MJUMBE WA BARAZA LA MAWAZIRI
55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la
Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada
ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1),
Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua
Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa
Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao
watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka
miongoni mwa Wabunge.(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea
kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada
ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye
alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.
55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la
Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais baada
ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1),
Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua
Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa
Baraza la Mawaziri.
(3) Rais aweza kuteua idadi yoyote ya Naibu Mawaziri ambao
watawasaidia Mawaziri katika utekelezaji wa kazi na shughuli zao.
(4) Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka
miongoni mwa Wabunge.(5) Bila ya kujali masharti ya ibara ndogo ya (1) ikitokea
kwamba Rais anahitajiwa kumteua Waziri au Naibu Waziri baada
ya Bunge kuvunjwa, basi aweza kumteua mtu yeyote ambaye
alikiwa Mbunge kabla ya Bunge kuvunjwa.