Kati ya Paul Makonda na Richard Kasesera nani anaongoza kwa kuwa na usanii, sifa na mashauzi?

Richard kabisaaaaaaaaa anaongoza, huyo ni eeeeh

Makonda anapenda kuhudumia wananchi, ipo kwenye damu. Hata humu posts zake za miaka mingi iliyopita ilionyesha hivyo.
 
Makonda ni kiongozi Kasesera ni muuza sura kama hamorapa.!
 
Ifike wakati watu wawe wakuu wa mikoa hukohuko kwao walikozaliwa, maana ishakuwa ulofa.
 
mmh bora wa Iringa, huyu mwingine anatumia hadi nguvu za dola......khaaah!!!
 
Back
Top Bottom