Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
- Thread starter
- #321
Hio 2014 RR ikiingia kwenye dimbwi ndani inakuonyesha level ya maji ilimoingia....Kama ni hatari inakwambia,matairi kila moja linakuwa na power game tofauti kulingana na terrain yaani ni balaa ndio maana mi sioni sehemu ambayo hizi vx v8 zitapita RR isipite!hizo winch na air cleaner za juu ni optional gari yoyote unaweza kuweka
Ukipata hela za madafu usidhulumu nafsi yako, chukua RR.
Hiyo ni beast