uyui kwetu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 1,185
- 734
SUBARU ni kiboko kwenye lami tu Mkuu
Gari Comfortable, Durability na sustainable barabarani ni Kilimo kwanza
- kanachomoka usiombe lakini kwenye vumbi na changarawe kanahama na katakuua
- kwenye bump hakawezi katapinduka kakuache hewani
- kwenye mashimo ya lami (km pale Mlandizi kwenda daraja la Wami palipojaa maji sasa kuna mahandaki na matuta ya lami) katatembelea kifua
- kwa barabara zote za Tanzania SUBARU katachagua 10% ya barabara zetuhakawezi kutoka Babati kwenda Iringa roughroad utaokota tairi kila moja upande wake
hata Escort No 1 Benzi huwa zinakaa pembeni zikisikia msafara utatumia rough road na baadhi za barabara za milima km Mvomero- Segera- Msata -Bagamoyo huko hata RR au NISSAN huzikuti
Ukwaju umenimaliza
Last edited by a moderator: