Kati ya mwanamke wa kijijini na Mjini?

Kati ya mwanamke wa kijijini na Mjini?

babby

Member
Joined
Apr 23, 2013
Posts
11
Reaction score
3
Wakuu, katika kufunga ndoa ni mwanamke anaye faa kuoa nani anafaa zaidi kuwa mke mwema? Wa kijijini au wa mjini na kwa sababu gani?
 
Wema wa mtu tangu lini ukahusiana na eneo analoishi?
 
avatar138230_3.gif
.......hii avatar anaitumiaga @BelindaJacob.....tuliyemzoea humu.......wewe unatuchanganya.......
 
wakuu, katika kufunga ndoa ni mwanamke anaye faa kuoa nani anafaa zaidi kuwa mke mwema? Wa kijijini au wa mjini na kwa sababu gani?
wewe ni wa kijijini au wa mjini jibu kwanza.
 
Wakuu, katika kufunga ndoa ni mwanamke anaye faa kuoa nani anafaa zaidi kuwa mke mwema? Wa kijijini au wa mjini na kwa sababu gani?

Binafsi naona mwanamke mwema ni tabia yake binafsi ambayo kwa kiasi fulani haitegemei mtu huyo anaishi mjini au kijijini. Lakini uchunguzi usio rasmi nilioufanya mwenyewe unaonyesha kuwa unapomtoa mwanamke kijijini na kumleta mjini, siku akipata exposure na kuamua kukengeuka, huwa mbaya zaidi kuliko yule wa mjini aliyekengeuka. Kwa mantiki hiyo, kwa matokeo bora kama uko mjini ni vyema uoe/kuolewa na huyo wa mjini kama uwezekano huo upo, na kama uko kijijini, ni vyema pia kuoa/kuolewa na wa huko. Kuna uwezekano kuwa mtazamo wenu, uchumi wenu, maisha yenu, tabia zenu na tamaduni zenu pia zikaenda pamoja na kuwafanya muwe na ndoa ya muda mrefu.

Nawaza kipuuzi, kama mmoja ni wa kijijini na mwingine wa mjini, kuna kazi kubwa sana ya kuhormonize tabia, mtizamo, priority, nk kitu ambacho kinaweza kusababisha migogoro ya hapa na pale. Otherwise naungana na charminglady ya kwamba mke mwema hutoka kwa Bwana.

charminglady, upo? Nimekumiss ...
Nivea, mdogo wangu mpendwa, salamu zikufukie popote ulipo!
 
Mwanamke mwema ni aliyekulia ktk makuzi ya wazazi wawili na haswa wa kijijini kisha akaja mjini,wa mjini kama kkoo utakua umeliwa mkuu,ujue mtachangia kutunza nimelifanyia utafiti
 
Binafsi naona mwanamke mwema ni tabia yake binafsi ambayo kwa kiasi fulani haitegemei mtu huyo anaishi mjini au kijijini. Lakini uchunguzi usio rasmi nilioufanya mwenyewe unaonyesha kuwa unapomtoa mwanamke kijijini na kumleta mjini, siku akipata exposure na kuamua kukengeuka, huwa mbaya zaidi kuliko yule wa mjini aliyekengeuka. Kwa mantiki hiyo, kwa matokeo bora kama uko mjini ni vyema uoe/kuolewa na huyo wa mjini kama uwezekano huo upo, na kama uko kijijini, ni vyema pia kuoa/kuolewa na wa huko. Kuna uwezekana, mtazamo wenu, uchumi wenu, maisha yenu, tabia zenu na tamaduni zenu pia zikaenda pamoja na kuwafanya muwe na ndoa ya muda mrefu.

Nawaza kipuuzi, kama mmoja ni wa kijijini na mwingine wa mjini, kuna kazi kubwa sana ya kuhormonize tabia, mtizamo, priority, nk kitu ambacho kinaweza kusababisha migogoro ya hapa na pale. Otherwise naungana na charminglady ya kwamba mke mwema hutoka kwa Bwana.

charminglady, upo? Nimekumiss ...
Nivea, mdogo wangu mpendwa, salama zikufukie popote ulipo!
NASHUKURU KWA SALAMU ,PIA HUO MJI ANAOUZUNGUMZIA INABIDI TUIKATEGORISE HUWEZI FANANISHA MWANMKE WA ARUSHA MJINI/MOSHI MJINI AU MWANZA NA MWANAMKE WA JIJI NA DSM YULE MWANAMKE ALIYESHINDIKANA HUKO AR,MS ,MWZ HUYO NI KINDERGATEN HAPA JIJI NA DSM so BE WARNED KAMA UKO MUJINI OA MUJINI KAMA HUKO KIJIJINI OA HUKO USITAFUTE TABU BUUURE
 
Back
Top Bottom