Kati ya Mbowe, Lissu na Lowassa, nani anafaa kuwa rais?

None.
1. Lowasa sasanguvu imepungua- umri
2. Mbowe ana makovu mengi dhidi yake
3. Lissu naye kama mbowe ana makovu kila kona. ( ingawa angekuwa my choice)
 
rais wa makinikia hataweza ruhusu uchaguzi huru, hakuna sababu ya kuliongelea hili
 
JPM akikatwa ccm atahamia chadema halafu watamnadi kama baba wa demokrasia africa mzalendo wa kweli na mwisho mkiwauliza mbona mlimwita dict uchwara watadai kama una ushahidi nenda mahakamani. Hiyo ndio chadema ya mbowe.
 
Tundu Lissu angekuwa na msimamo kama wa Dr Slaa wa kumkataa Lowasa lazima angekuwa kiongozi kijana mashuhuri sana Duniani. Kovu la kisiasa alilolipata baada ya kumsafisha Lowasa, kwake ni kama Donda ndugu.
Huweze kuwa na kiongozi wa Inchi ambaye ana ndimi mbili kwenye mambo ya sera na itikadi.
 
usitumie kichwa chako kufugia tu chawa mkuu. kitumie kufikiri pia
Jamani! unavyofikiria kitu chochote greatly ili kiwe constructive ni lazima bongo itumike huku ikisaga calories zako. Sas uruhusu ubongo kufikiria hata hata unachoona ni nonsense? Haihitaji degree mtu wa kawaida kubullshit uzi huu.Hauna afya.
 
Hivi karibuni kulikuwa na mada hapa ikielezea aina za chadema zilizopo sasa hivi, ilitajwa Chadema asilia, chadema madaraka, chadema CCM, chadema masalia nk. leo ningependa tuumize vichwa kujua hivi ni nani hasa ambaye endapo chadema itamsimamisha kugombea urais ataweza kupambana ipasavyo na rais wa dunia mh. DR John Pombe Magufuli. mtumbua majipu na mchukia rushwa kwa vitendo.

majina yanayong'ara kwa mbaali sana ambayo tunaweza kuanza nayo ni tundu, lowasa na mbowe. nani zaidi kati ya mapacha hawa watatu? nani zaidi hata ambaye sijamtaja?
Wote watatu ni presidential material, akisimamishwa yeyote dhidi ya JPM atamshinda vibaya kama tutakua na tume huru ya uchaguzi, kwasababu za kiumri anatakiwa uchaguzi ujao asimamishwe Lowasa, uchaguzi ujao Mbowe au Lisu waisaidie nchi
 
Back
Top Bottom