Umeongea vizuri mwanzoni halafu ukakoroga uji mwishoni. Yaani Kagere awe striker Bora wa Muda wote Tanzania?? Umeanza ushabiki 2014!!?Ukitumia takwimu za ligi yetu Kagere ni bora kumpita huyu mkongo. Moja, Kagere kawa mfungaji bora katika ligi yetu kwa season mbili,pia ameweza kuscore 10 plus goals misimu mitatu kitu ambacho haijafahamika kama mkongo ataweza
Mwisho kabisa Kagere ana goals nne mpaka sasa wakati huyu mkongo ndo kwanza anajitafuta katika ligi. Anyway,Kagere is the best striker of all time in TPL,VPL and NPL.
Una mihemko ndugu. Kagere anameshazoea ligi yetu.
Mayele ni msimu wake wa kwanza.
Anzia hapa kuwalinganisha
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hapa nimehitimisha kibabe sana alafu fresh tu 😏Umeongea vizuri mwanzoni halafu ukakoroga uji mwishoni. Yaani Kagere awe striker Bora wa Muda wote Tanzania?? Umeanza ushabiki 2014!!?
Hao wote ni jamii ya KabwiliMashabiki wa yanga ni mzigo kwa taifa.
Msamehe bure,kaanza ushabiki baada ya Mwamedi kununua Kolo,hawajui kina Mohammed Hussein Mmachinga waliofunga goli 26 kwenye ligi ya timu 14Umeongea vizuri mwanzoni halafu ukakoroga uji mwishoni. Yaani Kagere awe striker Bora wa Muda wote Tanzania?? Umeanza ushabiki 2014!!?
Kabwili tuliza kishundu hichoMsamehe bure,kaanza ushabiki baada ya Mwamedi kununua Kolo,hawajui kina Mohammed Hussein Mmachinga waliofunga goli 26 kwenye ligi ya timu 14