Kati ya LG,TCL na SAMSUNG flat screen.

Kati ya LG,TCL na SAMSUNG flat screen.

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
Kama title. Inavyojieleza, baada ya wezi kunichapa system nzima sebuleni kwangu, nimeamua kujikongoja tena kinyonge Ku-restore vitu nilivyoibiwa.
Naanza na flat screen TV, uwezo wangu mwisho ni 32 inches tu. Naombeni ushauri kati ya brands nilizozitaja hapo juu ,ipi ni the best.
Uwezo wangu mwisho ni 650k. Hata kama kuna aina nyingine bora kuliko hizo tajwa, napokea ushauri, Thanks in advance!
 
so far naona LG inapewa chapuo zaidi,hiyo flatscreen ya phillips bado sijajaliwa kuitia machoni.
 
Msiangalie uimara tuu. Kama ni suala la uimara basi mwambieni anunue chogo, yapo kibao pale mwanakwerekwe, mtendeni na darajani yanauzwa kwa mafungu, magumu kweli kweli hata treni ikipita juu yake hayapasuki. Mimi kitu ambacho ninakipenda kwenye TV ni ubora wa picha na sauti. Ukitaka kuthibitisha ingia duka la mtu aliyeweka TV za kampuni mbalimbali halafu kafungulia channel moja ndio uone tofauti. Suala ta technolojia mpya iliyotumika kama OS, na kuwa multfunction kwangu huwa kipaumbele namba mbili
 
Back
Top Bottom