jackson Elisha
Member
- Jul 18, 2019
- 33
- 10
Habari zenu ndugu,,, nilikua naswali kidogo, kati ya kwenda chuo na kwenda advance kama private candidate..kipi ni bora?? Na je pc akifaulu vzur anapewa mkopo?
Pc sidhna kama atapewa mkpoHabari zenu ndugu,,, nilikua naswali kidogo, kati ya kwenda chuo na kwenda advance kama private candidate..kipi ni bora?? Na je pc akifaulu vzur anapewa mkopo?
Chuo gharama mkuu. Uwezo wa kulipa ada haupoMaisha hayeleweki,nenda chuo upate ujuzi
Pc sidhna kama atapewa mkpo
Pia,mchapuo gan kama n sayansi aende to collage akapige diploma za afya.......
Nursing
Medical.lab
Clinical oficer
Pharmacy
Karibu serikalini
Chuo gharama mkuu. Uwezo wa kulipa ada haupo