Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wewe unaesoma hapa, awali nitangulize neno - Hali yako my fellow member! .
Kisha nikuulize hivi :-
Wewe aidha ni Mkaka au Mdada uko na maisha ya kawaida, haya ya mahitaji makubwa kuliko kipato.
Ukikamilisha hili , lile bado, lile ukilikamilisha , mengineyo yameshajongea.
Panatokea mganga mtaalamu, ambae inathibitika kwamba akikufanyia mandingo UMASKINI na UFUKARA ulokua nao utakua baibai, kwa kukufanya wewe kua TAJIRI.
Lakini yote kwa yote liko SHARTI ambalo kwalo ulikubali ndiyo azma au ukitakacho kiwe.
SHARTI ni kwamba ili ufanikiwe UTAJIRI kama wewe ni Mkaka kuanzia siku unapewa ushefa hutotakiwa kufungua zipu ama mnaita ku'DO kwa maisha yako yote.
Aidha wewe ni Mdada sharti ni hilolo unakua Mult millioner na hutotakiwa kuguswa na mwanaume hadi ufe .
Wapi pa kuelekea between that two ways .
Naomba kutoa hoja.
Kisha nikuulize hivi :-
Wewe aidha ni Mkaka au Mdada uko na maisha ya kawaida, haya ya mahitaji makubwa kuliko kipato.
Ukikamilisha hili , lile bado, lile ukilikamilisha , mengineyo yameshajongea.
Panatokea mganga mtaalamu, ambae inathibitika kwamba akikufanyia mandingo UMASKINI na UFUKARA ulokua nao utakua baibai, kwa kukufanya wewe kua TAJIRI.
Lakini yote kwa yote liko SHARTI ambalo kwalo ulikubali ndiyo azma au ukitakacho kiwe.
SHARTI ni kwamba ili ufanikiwe UTAJIRI kama wewe ni Mkaka kuanzia siku unapewa ushefa hutotakiwa kufungua zipu ama mnaita ku'DO kwa maisha yako yote.
Aidha wewe ni Mdada sharti ni hilolo unakua Mult millioner na hutotakiwa kuguswa na mwanaume hadi ufe .
Wapi pa kuelekea between that two ways .
Naomba kutoa hoja.