ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Sawa nimekulewa, pia katiba nimeisoma.
Msimamo upo palepale, raisi ana mamlaka ya kudhibiti matumizi ya fedha zinazokusanywa kupitia kodi na vyanzo vingine.
Je nawe ni mmoja wa wale wanaolilia sana hizi safari?
Hakuna anaekuzuia kung'ang'ania msimamo ambao unasimama kwenye hoja, ili mradi unaungwa mkono na katiba/sheria lakini sio mipasho.