Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,573
- 18,600
Duu hii hatariInadaiwa mume alikodi majambazi wamuue mkewe lakini walimgeuka na kumuua yeye baada ya mke kupandisha dau
Duu hii hatariInadaiwa mume alikodi majambazi wamuue mkewe lakini walimgeuka na kumuua yeye baada ya mke kupandisha dau
Wanaume sahv tumepigwa 3-1
Ova
Mwl naona unasikitika tu 😂😂😂
Nakilio juuMwl naona unasikitika tu 😂😂😂
Dunia uwanja wa fujo huu
Haiwez kutulia
Ova
Poyee🤣🤣 Dah!
AiseePoyee
Huyu mama ni mzembe na mjinga sana !!! Issue itakiwa afanye hiviiiii
1) atafute mganga afunge shamba lisiuzike kabisa!!!
2) kama vipi angefuta network ( erection) ya hicho kidume
3) ange mpeperusha huyu kimada ahame mji
Mambo madogo sana hayo badala ya kuua sijui watu mnakwama wapi!!! Pesa sina,mkwara sina !!! Hata kuloga hujui!?? Wewe wanini hapa duniani!?