Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 7,592
- 23,209
Mwarabu Hemedyphd anasema ndoa sio kitu anachokiamini katika maisha yake na yupo tayari kuishi miaka 100 na mwanamke lakini asimuoe/wasioane.
Akipiga story na #PlanetBongo ya @eastafricaradio amefunguka 👇
"Katika maisha yangu kuna vitu vitatu vikubwa ambavyo sio ndoto yangu, cha tatu ni hiyo kuoa. Siamini ndoa, sifagilii na sifurahii, ukinifuata kama mshkaji unataka kuoa sikushauri"
"Nipo tayari kuishi na mwanamke hata miaka 100 lakini kipengele cha ndoa kisiwepo"
Akipiga story na #PlanetBongo ya @eastafricaradio amefunguka 👇
"Katika maisha yangu kuna vitu vitatu vikubwa ambavyo sio ndoto yangu, cha tatu ni hiyo kuoa. Siamini ndoa, sifagilii na sifurahii, ukinifuata kama mshkaji unataka kuoa sikushauri"
"Nipo tayari kuishi na mwanamke hata miaka 100 lakini kipengele cha ndoa kisiwepo"