Kama ni huyu mbona hata church anazama!!?? Hujawahi kuona kata K za ukweli!!!! mbaya zaidi chupi zinakuwa na rangi tifauti na ya dukani..............kuiga mambo usiyoyajua..wenzetu kata K ilikuwa nitangazo la kampuni fulani kupitia chupi husika a hasa mastaa wanalipa pesa nyingi tu kufanya hivyo...inanikumbusha pia stroy ya mpasuo kwamba ni dada ambayesketi yake baada ya kushonwa haikumtosha maeneo ya maungio hivyo akaomba ikatwe kidogo (mpasuo) ili kitambaa hicho kiungwe na kumtosha kiunoni .......baadaye imekuwa ni fasheni.......
hawa hawajui wanalolifanya...! jamaa mmoja magomeni nusura aliwe kiboga na mabaharia wakigiriki kwa kutokujua ni position ipi ya sikio anatakiwa kuvaa heleni...!
Kachoka na kivuko cha kigamboni anaelekea chuoni IFM hapo karibu na jengo la utumishi kivukoni,maisha magumu mpaka kwenye nguo zao!e na yuko na mishemishe zake!!!!watch out[/QUOTE]
Mmeshndwa kuwapatia vazi la taif wacha vijana wajivalie..kila ktu tumeiga,kama vpi 2rudi zama zle kwa wanawake kuacha maziwa nje na kufunika nyeti kwa majani,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.