Kasulambai ahukumiwa miezi saba jela


usimsikilize ni lile ffungu la kikundi cha propaganda la nape ambalo wanagombania kati yake na mukama.Ni fungu nono ambalo vijana wanapewa kufanaya propagada hata za kijinga kutetea meli ziendelee kuua watu.Kiukweli hana shitaka tena, na ksei yao imefutwa na haitaendelea tena katika mahakama yeyote.waache waropoke na propaganda za kijinga .Vijana sikileni , jitahidini kweka thread za kusaidia umma kimaslahi ya taifa na si kuwa jukwaa la umbeya wa kijuweni bila uthibitisho.
 
Mungi ID nyingine utata mtupu et Honey K, K sijui inamananisha nini.
 
Last edited by a moderator:
Kweli nape huu mwaka utapagawa,vijana wako hata kufikiria sijui wanatumia nini,eti honey K na wenzako hoja zao zimekaa kimavimavi....aibu zenu.
 
Spika wa JF, naomba mwongozo kwani tunaweza onana wabaya humu ndani.......Please Madam,....ooh no Mr Spika, aaaaaaaaaaaaaaaaaagh! Honorable Mod.
 
mfumo kristo huo! ingekuwa cuf hapo hakuna faini ni kifungo tu. nchi sijui inaelekea wapi?

Mkuu unakili kweli au ndio mambo yale aliyosema Kova..ya kujirudi rudia.!!! .Mild....sion..
 
Mimi pia naunga mkono hoja, na ndio maana niliomba mwongozo kwa "SPIKA" wetu wa JF.
 

kama hukubaliani na hukumu toa yako maana wewe jaji!imbecile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…