Mkuu
Honey K! hiyo K... inanitatiza namna fulani.
Back to the topic.
Wanaojimaliza ni ccm ambao wamekumbatia nguvu ya dola kwa maana ya polisi na mahakamaa, jumlisha usalama wa taifa.
Watanzania wanaona, adhabu yenu 2015 siyo mbali. You are to prepare to flee out of the country seeking asylum!