Kasuku huyu nae!!

fundiaminy

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2009
Posts
354
Reaction score
52
Mfugaji kasuku alimrudisha kasuku kwa muuzaji ampe mwengine, "huyu ana matusi sana!" muuzaji akampa mwengine,na kumwambia huyu kasuku ni mstaarabu,"akiinua mguu wa kulia huongea kizungu, akiinua wa kushoto huongea kihindi". Jamaa akauliza "akiinua miguu yote jee?" Kasuku akajibu 'KU*#!MAKO SI NITAANGUKA!!
 
teheeeheeeeeeeee, kasuku nomaa
 

Inabidi awaache kasuku wote atafute mfugo mwingine!!maana kama wa pili ndo huyo,sipati picha wa kwanza alikuwaje!!!
 
Akiinua miguu yote miwili hataongea kabisa kwa sababu atasimamia mdomo.
 
kasuku anamatusi kama makinda ya ndege supika
 
Umenifanya nifurahi kidogo. Inakaribia miezi miwili sijaingia kwa kutulia humu ila now nimerudi rasmi.
 
akiinua miguu yote ataruka nahuo ndoo mwisho wa kuoongea.
 
Sasa huyo ndio mstaarabu, wa kwanza sijui atakuwaje!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…