Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Antivirus mainly ina deal na virusi kwenye pc, haisaidiinsana kulilinda dhidi ya tovuti ovu. Internet security inakulinda dhidi ya uharamia wa mtandao, pale unapopitia tovuti ambazo si salama. Huwa inakuonya na kuzifunga hizo tovuti.Internet Security ni Combo ya Antivirus na vitu vingine. Ni kama kuuliza kati ya Nyuki na wadudu yupi mzuri. So Avast wana Antivirus na Avast Internet Security vivyo hivyo kwa Avira, Symantec, et al!
Sent using Jamii Forums mobile app