Hahahahahahaaaa!
Na sijui ungefanyaje ingekuwa sijajiunga na JF!
...
Afu pale kamoyo kangu kalilia Paaaa!
Haya nakusubiri PM mtoto mzuri!
Habari zenu wapendwa,
Jioni hii wakati narudi nyumbani nikiwa kwenye foleni ndani ya kibito changu mdogo mdogo from Posta town city to home daaah!
Tulikutana uso kwa uso na kijana aliyekuwa akiendesha nissan patrol namba T...AQN mweeh! Ilikuwa akinitazama gari zikisogea nami namtazama ukawa ndo kamchezo.
Baada ya kupita mataa ya maktaba tukapotezana nyomi lilikuwa kali balaa hee kuja kustuka maeneo ya DSTV pale karibu na st. Peters kijana huyu hapa akanitupia jicho nami nikamtizama hahahhaaaa!
Gari zikasogea mdogo mdogo akanipungia mkono nikabaki whaaaooo!
Nikafreez sikuweka ku wave back so sad we were parting baada ya kufika mbuyuni yeye akaelekea namanga mie nikanyoosha to morocco.
Ila baada ya kumpita akisubiria jukata namanga nilimpungia sjui kama aliona...
Guy your wave left a smile on my face and double heart beats on my heart till I realise that am in crash with you nissan guy.
So sad hatufahamiani hata majina but I enjoy your looking, good night!
Ila usingizi hauji sasa.......!! daah!!
It was the guy!!Now was it the guy or the car?
The guy....Who is gonna hump you? The guy or the car?
The guy....Who is gonna hold ya?
And what does this mean??SMDH.
Hahahahaaaa. I too have been there.It was the guy!!
The guy....
The guy....
And what does this mean??
Karucee, I had a crash with the guy who was driving a nissan patrol!!....
The wave, the smile.... the look.... the eyes the way they look at me.... ooohhh God knows more.....
wacha niishie hapo!!
Heheheh usicrash mchezo chezea nissan na kibito weye......
Ila serious ukipendwa oendeka
Ukipungiwa pungukika
Ukitamaniwa tamanika
Usiku mwema
Hahahaaa I dont think it will happen again, maana siku za kutoka kazini hazifanani sku ingine unawahi skuingine unachelewa. Halafu skuingine nakuwa sina gari napanda bajaji looh so ......... am sad to miss him but am happy to have a wave and a a smile...
I see him....
He saw me.....
We look at each other....
Hadi raha . Keep looking , maybe just maybe
He is the one lol . Hope you are both single & " searching "
-🙂
aaahh yeye hakuwa na macho makubwa kama hayo yako looh hehehheeee, na uso wake haukuwa wa duara