TANESCO - MAOMBI YA SIKU ZA NYUMA YA KUFUNGIWA UMEME NA YALE YA KUBADILISHIWA LUKU ZENYE MATATIZO:
Jana Jumanne (15 Desemba 2015), Mameneja wa Kanda wa TANESCO wameagizwa na Prof Muhongo kuhakikisha kwamba ifikapo tarehe 15 Januari 2016 kazi ya kuwapatia waombaji wa umeme wa muda mrefu iwe imekamilika.
"Maombi yakubadilishiwa luku zenye matatizo yawe yameshughulikiwa ifikapo tarehe hiyo (15 Jan 2016). TANESCO lazima ibadilike au itabadilishwa," alisema Muhongo
Jana Jumanne (15 Desemba 2015), Mameneja wa Kanda wa TANESCO wameagizwa na Prof Muhongo kuhakikisha kwamba ifikapo tarehe 15 Januari 2016 kazi ya kuwapatia waombaji wa umeme wa muda mrefu iwe imekamilika.
"Maombi yakubadilishiwa luku zenye matatizo yawe yameshughulikiwa ifikapo tarehe hiyo (15 Jan 2016). TANESCO lazima ibadilike au itabadilishwa," alisema Muhongo