Kasi ya intaneti bongo ni tatizo, shida iko wapi?

Kasi ya intaneti bongo ni tatizo, shida iko wapi?

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
472
Reaction score
424
Unakuta unapakua picha/video/faili lenye ukubwa mdogo tuu kama 8MB lakini inachukua zaidi ya dakika kumaliza kupakua. Shida iko wapi ya kasi ndogo ya intaneti??
 
Unakuta unapakua picha/video/faili lenye ukubwa mdogo tuu kama 8MB lakini inachukua zaidi ya dakika kumaliza kupakua. Shida iko wapi ya kasi ndogo ya intaneti??
Africa, na hasa Bongo hatuna haraka. Au mwenzetu unataka kuwahi wapi hasa?😀😀😀
 
Wewe tu sisi Halo tukovl safi tena 3G tu. ik
si walikwambia 4G hiyo.
 
Tunatumia mitambo na mifumo ya kizamani sana.(Outmoded).
Kunakuwa na delay itokanayo na kutokumeet requirements za kasi ya Satellite kubwa(Inmasat & Ausat), ndiyo maana mataifa yanafunga satellite zao ili kumudu kasi ya bandwidth tunazotumia.
Unakuta unapakua picha/video/faili lenye ukubwa mdogo tuu kama 8MB lakini inachukua zaidi ya dakika kumaliza kupakua. Shida iko wapi ya kasi ndogo ya intaneti??
 
Haka kauongo umekatolea wapi? Mitambo ipi ya zamani?
Tunatumia mitambo na mifumo ya kizamani sana.(Outmoded).
Kunakuwa na delay itokanayo na kutokumeet requirements za kasi ya Satellite kubwa(Inmasat & Ausat), ndiyo maana mataifa yanafunga satellite zao ili kumudu kasi ya bandwidth tunazotumia.
 
Tunatumia mitambo na mifumo ya kizamani sana.(Outmoded).
Kunakuwa na delay itokanayo na kutokumeet requirements za kasi ya Satellite kubwa(Inmasat & Ausat), ndiyo maana mataifa yanafunga satellite zao ili kumudu kasi ya bandwidth tunazotumia.
Tanzania inatumia fiber optic cable ( mkonga ) au satellite?
 
tuna tatizo kubwa halafu mamlaka husika badala ya kufatilia zinakazana kufatilia watu wasajili line za simu kwa finger print
 
Back
Top Bottom