Kashfa ya Romania: Funzo kwa Rais Magufuli

Kashfa ya Romania: Funzo kwa Rais Magufuli

Labda kwa vile Makonda ni shabiki wa timu ya simba... ze mbelekoz

QUOTE="Kiranga, post: 34174662, member: 13377"]Magufuli kama hapendi ubadhirifu na rushwa, mbona hajamtumbua Makonda alipoingiza fenicha kiujanja akitaka kukwepa kulipa kodi?

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
Yaani unataka viongozi wasiteuliwe/watumbuliwe eti kwa sababu ya tuhuma? Unajua maana halisi ya tuhuma?
 
Wewe ni nani hadi Raisi wa JMTZ asikilize ushauri wako? Huo ubinafsi unaomsingizia Raisi wa JMTZ unao wewe mwenyewe, unafanya projection kwa wengine. Ulitaka Raisi afwate ushauri wa watu zaidi ya milioni 45 sasa kuna haja gani ya kuchagua wawakilishi?
Rais sio Mungu thus uandika vitabu kujutia makosa yao ya kutowashaurika.Nyerere akushaurika thus akauwa uchumi amekuja kuelewa akiwa keshachelewa rejea kitabu chake cha tujisahihishe,kama alijiona yuko perfect aliiandika kitabu cha nn kujutia makosa yake.Wananchi ni sawa na watazamaji mpira wao uona makosa mengi sana ya uwanjani ambayo atakujayaona akiwa nje nae akiwekewa recording player.Kuwa kiongozi si kwamba huna akili kuliko wote,jiulize kwann wenzetu wameruhusu kukosolewa lengo ili wajitazame wasianguke maana kila mkosoaji anayo hoja
 
Rais sio Mungu thus uandika vitabu kujutia makosa yao ya kutowashaurika.Nyerere akushaurika thus akauwa uchumi amekuja kuelewa akiwa keshachelewa rejea kitabu chake cha tujisahihishe,kama alijiona yuko perfect aliiandika kitabu cha nn kujutia makosa yake.Wananchi ni sawa na watazamaji mpira wao uona makosa mengi sana ya uwanjani ambayo atakujayaona akiwa nje nae akiwekewa recording player.Kuwa kiongozi si kwamba huna akili kuliko wote,jiulize kwann wenzetu wameruhusu kukosolewa lengo ili wajitazame wasianguke maana kila mkosoaji anayo hoja


Kwani Tanzania hairuhusiwi kukosoa? Mbona JF imejaa wakosoaji na hata wewe unakosoa pia? Au kukosoa kupi unakokuongelea? Kuna watu kama Zito Kabwe mpaka wanamzushia Raisi kifo na ni Wabunge wanalipwa na Serikali huko ni zaidi ya kukosoa, isitoshe kwa kuwa tu Raisi hafanyi unavyotaka wewe haimaanishi kwamba hasikilizi ushauri, ana washauri wake anaowasikiliza na imetokea wewe siyo mmoja wao hivyo acha ubinsfsi, siyo lazima afwate wewe unavyotaka.
 
Kama sheria na kanuni zipo kwenye kila stage...inakuwaje jambo hili likafika hadi huko juu?

Kuna weakness sehemu...watanzania tusiwe ma mbumbumbu...tuhoji

Hao waliotumbuliwa hawajapata nafasi ya kuongea na watanzania hali halisi lakini kama nao wangesema basi nchi ingepasuka .....

One man show - si utawala mzuri.
 
Back
Top Bottom