Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Chanzo cha taarifa? leta habari yenye ushahidi
Hivi mturuki ni mzungu.Wapiga dili wa Tanzania ni hatari naona mpaka mzungu analia
Mada husika inahusu kodi na wanaoshindwa kulipa kodi minada inayoendeshwa na TRA
Mangi mmoja pale Arusha.Mwenye matela mengi sn ya SERIN ni PANONE.
Hivi Panone ni za nani vile?
NiwaturukiHivi mturuki ni mzungu.
NiulizeNiwaturuki
Ata Aza... wanayo piaMwenye matela mengi sn ya SERIN ni PANONE.
Hivi Panone ni za nani vile?
Soma kuanzia mwanzoChanzo cha taarifa? leta habari yenye ushahidi
Zamani passport ya Tanzania iliheshimika sana huko Duniani,Kumbe wabongo ni mafundi wa kupiga kross golini kiroho safi.Kagame kwake ni ruksa kuiba inje ya nchi na kuingiza Rwanda.
Taja majina ya wahusika, labda utanielewa.Soma kuanzia mwanzo
Hao wauzaji wa huko hawana MAFIOSO?....Ni hivi....mfanyabiashara anaenda nje ya nchi mfano China, ananunua mzigo ila analipa small deposit labda 20% anakubaliana na wauzaji wa huko kuwa mzigo ukifika anamalizia balance na wao wamtumie BL ili atoe mzigo.
Sasa huyu 'mfanyabiashara' akifika bongo na mzigo ukifika anajizungusha, halipi balance kule alikoagiza mzigo hadi TRA wanapiga mzigo mnada kwa sababu umekaa bandarini zaidi ya muda fulani. Huyu huyu mfanyabiashara anapiga deal ananunua mzigo huu kwa thamani ndogo sana.
Wale wahusika kule nje ya nchi wakimdai anawaambia alikuwa na matatizo kifedha kashindwa kutoa mzigo na umepigwa mnada na TRA!
Utapeli na usanii unaojumuisha,baadhi ya maafisa nyeti na wafanyi biashara ambao ni wafadhili wa vitu vidogo vidogo kama vibanda vya kujistiri jua kwa matrafiki.
KWA KIFUPI.
Mfanyi baashara[Color/] wafanyi baahsara[Color/]