KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

hivi jamani, tuseme ukweli, tz ikifungua milango yote, hata kama tukaamua kuliweka suala la ardhi free kwa east africa wote, nani atapata hasara? nchi gani itakuwa kwa kasi kuliko zote katika easta africa hiii? wapi patachanua kuliko kote katika ukanda huu, hebu nielimisheni jamani mimi sikusoma uchumi.

mbona mimi naona hakuna sababu kwa tz kujitenga na easta frica, tufanye tu kama wanavyofanya wenzetu, hata mkenya akija kupata ardhi hapa hawezi kuihamisha, bali atajenga nyumba hapahapa tz, hawezi kwenda kujenga kule, construction industry itakuwa kwa kasi sana, agriculture itakuwa kwa kasi sana na tz kutachangamke kuliko hivi sasa...

kwani watz wa kuiendeleza hiyo ardhi hawapo kuna watu wana hela mpk basi sera ya ardhi ya tz na ubabaishaji katika kupata ardhi kunatucost.
 
watanzania kwa kulalamika hawajambo. wengi hawapendi kazi za kutumia nguvu, sasa hawa wakenya walipita wapi kupewa work permit? chukueni hatua kama wako kiharamu.
 
Hakuna mfanya biashara yeyote anaekubali kufanya biashara kwa hasara. Strabag is a commercial business out to make a profit....
And they feel they watatengeneza faida kwa kuajiri Wakenya.... Lililopo Watanzania jiulizeni, nini mapungufu yenu hadi mfanyabiashara Strabag aone kumlipa Mkenya hata mara mbili zaidi ya Mtanzania bado ni faida kwake??
Jiulizeni... Ni Elimu yetu duni?
Ni tabia zetu za Uvivu?
Ni umahiri katika domo na stori?
Ni hasa TABIA YA UWIZI?????

Jamani tujiangalie kiundani, tujirekebishe, ndio tupate kushindana na wenzetu!
 
Nita mwandikia Dr. Magufuli kuhusu hili alifuatilie kwa undani kupata ukweli wa mambo na mwisho kuwaandikia world Bank kuhusu huo ufisadi unaofanywa na wakenya dhidi ya wanzania. Hata vibarua hii sasa kali kama ni kweli.
 
Serikal iko bize inamsaka SUGU na difender 6 kisa kafokea mtumish wa bnge, starbag mtajua wenyewe.
 
Wakenya wakipewa mamlaka kuongoza wabongo huwa wanawatesa sana sijui na huko kwao huwa wanapelekana kipunda au hapa tu? Lakini No nimepata kwenda Kenya kukaa nao kikazi kwa muda mfupi wao wanapendana na ku tritiana vizuri tu.
 
Sifa kubwa ya wafanyakazi Watanzania ni majungu, uvivu na wizi. Mtu anaajiriwa anataka baada ya miezi sita awe ameshajenga nyumba na kununua gari. Nina mfano wa hoteli moja iliyofunguliwa Arusha miaka michache iliyopita. Mmiliki wake alikuwa akishangaa kwanini hoteli inaingiza hasara wakati iko mahali pazuri na ni ya kiwango cha juu. Akagundua kuwa tatizo ni wafanyakazi. Alifukuza karibu wote akaajiri Wakenya na mambo yakabadilika kwa kiasi kikubwa. Nilikwenda hapo mwaka 2010 na kukaribishwa na bawabu Mkenya. Sidhani kama Mtanania angeweza kunikaribisha vizuri kama yule Mkenya.
 
Sii vizuri kwa sisi Watanzania kujisema vibaya, Lakini kusema kweli baadhi yetu sii wawajibikaji.
hainingii akilini huyu strabarg kukubali kuingia gharama za kuwaleta watumishi kutoka mbali awaache hawa wa karibu,
ninaamini baadhi yetu tuna shida. Tuna tabia ya uwongo, udokozi, uvivu, umbeya, hatujui kutenganisha mahusiano binafsi na Kazi. Tusipojitambua tutabakia kulalamika kila siku.
 
inasemekana hawa jamaa wa strarbag wanaojenga barabara dsm, wanazo ofisi zao Nairobi, na hapa dsm wamekuja na mainjinia toka kenya na hata ma human resources wametoka kenya. sasa wale ma HR wa kikenya unaambiwa wanachofanya ni kuleta hadi vibarua toka kenya kinyemela na wanatumika na hao wazungu kuwabana wabongo. jambo hili limepelekea pamoja na mambo mengine, mgomo huu wa juzi wa wafanyakazi kwani pamoja na kudai malipo bora, walikua hawamtaki boss wa kikenya anayewanyanyasa wabongo. hivi kampuni ya nje inapokuja hapa, inakuja na wafanyakazi wenye elimu na ujuzi ambao umejaa hapa bongo? hata human resources, ina maana tz hakuna hr wala hakuna vibarua? tatizo ni pale wakenya wanapokuwa wanawafanyia visa wabongo, kama unavyojua watani wa jadi.

nilichojiuliza ni kwamba, hizo hela za barabara ya magari ya kasi tumepewa na world bank lakini si bure, ni kwa mkopo, kodi za watz ndizo zitakazolipa hilo deni, hatujapewa msaada. sasa, inakuwaje hela tutakazokuja kuzilipa sisi wenyewe tusifaidike nazo jamaa zetu wapate ajira, na WAKENYA WANAOFANYA HAPA hata kama ni vibarua tu wanapata mishahara mkuuubwa kuliko wabongo ambao ndio watakaolipa deni hilo. wakenya hao hawana vibali vya kufanya kazi hapa na wanawaficha wakenya wenzao wengi. uhamiaji kuna nini? mmelala?
Sio Strabag tuu,,
Serikali yetu inasubiria kodi tu,Mengine haihusiki,fanya utafiti makampuni ya Nje,ambayo yapo hapa Bongo kwa muda mrefu utagundua wamejaa zaidi ya 5 experts,Uhamiaji hawapo,jamaa wanakuja kila miezi 6 eti expert,hata vyeo wanapewa utakuta hana ujuzi anajifunza kwa Mtanzania,jamani hivi wizara ya kazi ipo wapi,serikali inaangalia kodi tuuu,nenda kwa haya makampuni ya ujenzi,madini,Viwanda.
watu wako bussy kuchukua kodi tu,hii kitu inatakiwa kuingizwa kwenye katiba kuhusu Ajira kwa mzawa jamani.
 
we una akili sana, kama vyuo vikuu vyetu vimeleta Kiingereza cha Kikwete na Mulugo! Am pretty sure watoto wa darasa la 2 Kenya wanawazidi hawa watu kwa fluency, semantics and synthax
Duuuh kweli wewe haupo vizuri wakenya hawako vizuri kabisa kipindi nipo primary kulikua na walimu toka kenya wakikuyu aiee wao walikua wanatamka this mboy, this ngal,kumaanisha this boy au this girl waganda ndo kabisaaa wanachanganya na kikanda utakuta neno particular linatamkwa patichular, information neno linavyutwa infooormation...ingawa na wabongo wabovu kabisa...
 
ukimuamsha alielala?
shule zote za primary za private arusha walimu wengi ni wakenya!

No wonder hata matamshi ya kiingereza cha hao wanafunzi ni purely Kenyan accent. Inaniumiza sana but there are things we can't change.

Mfumo wa ajira ktk nchi hii ni very loose na very corrupt!
 
hivi jamani, tuseme ukweli, tz ikifungua milango yote, hata kama tukaamua kuliweka suala la ardhi free kwa east africa wote, nani atapata hasara? nchi gani itakuwa kwa kasi kuliko zote katika easta africa hiii? wapi patachanua kuliko kote katika ukanda huu, hebu nielimisheni jamani mimi sikusoma uchumi.

mbona mimi naona hakuna sababu kwa tz kujitenga na easta frica, tufanye tu kama wanavyofanya wenzetu, hata mkenya akija kupata ardhi hapa hawezi kuihamisha, bali atajenga nyumba hapahapa tz, hawezi kwenda kujenga kule, construction industry itakuwa kwa kasi sana, agriculture itakuwa kwa kasi sana na tz kutachangamke kuliko hivi sasa...

Bananeni huko huko kwenye viberiti vyenu,msituletee hewa chafu huku.
 
Duuuh kweli wewe haupo vizuri wakenya hawako vizuri kabisa kipindi nipo primary kulikua na walimu toka kenya wakikuyu aiee wao walikua wanatamka this mboy, this ngal,kumaanisha this boy au this girl waganda ndo kabisaaa wanachanganya na kikanda utakuta neno particular linatamkwa patichular, information neno linavyutwa infooormation...ingawa na wabongo wabovu kabisa...

Hata neno brand hawajui kutamka kiufasaha wanasema brad.
 
Na hizo barabara zao haziishi tu kha! manake hivyo vipande kama wamevitelekeza tu na kazi zimesimama wananikera hawa
 
Duuuh kweli wewe haupo vizuri wakenya hawako vizuri kabisa kipindi nipo primary kulikua na walimu toka kenya wakikuyu aiee wao walikua wanatamka this mboy, this ngal,kumaanisha this boy au this girl waganda ndo kabisaaa wanachanganya na kikanda utakuta neno particular linatamkwa patichular, information neno linavyutwa infooormation...ingawa na wabongo wabovu kabisa...

Hata neno brand hawajui kutamka kiufasaha wanasema brad.
 
Wakenya na waganda wanatabia ya kudharau watanzania kwa kiasi kikubwa tu.Lakini na watanzania wengi wetu tunavitabia vya kujipendekeza kwa wageni na mara nyingi tuko busy kusema maovu ya watanzania wenzetu ambayo mengi ya hayo maneno ni uzushi na uwongo ili tu kuharibu sifa ya mtu/watu.Nimefanya kazi na wakenya na waganda hata hawa wenzetu wenye rangi ya chungwa kwa ufupi watanzania tuko wazuri kazini kuliko wageni tatizo letu kubwa ni lugha tu vinginevyo tuko juu kuliko hawa tunaodhani wametuzidi,kwani wengi wa haoexperts wanajifunza kazi kwa watanzania.
 
we una akili sana, kama vyuo vikuu vyetu vimeleta Kiingereza cha Kikwete na Mulugo! Am pretty sure watoto wa darasa la 2 Kenya wanawazidi hawa watu kwa fluency, semantics and synthax


Mkuu, Umesahau na Phonology.....!!
 
udhaifu mkubwa upo kwenye serikali yetu, na hasa offisi ya Rais iliopewa mamlaka tele ya kuhakikisha kuwa sheria za nchi zinafeshimika na jufanyiwa kaz. lets look at china, venezuela, Brazil, Libya, zote hizi ni matunda ya utendaji mzur wa Offisi ya Rais ikiigwa na watumishi wengine.Uhamiaji hawataweza kuwa makin km offisi ya Rais yenyew ina udhaifu mkubwa.
 
Back
Top Bottom