KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

KASHFA Strabarg na ujenzi DSM

ukimuamsha alielala?
shule zote za primary za private arusha walimu wengi ni wakenya!
 
si ni EAC - Na mliishangilia ujio wake, sasa kulikoni tena? yamewashinda?
 
Wazee wa Yanga wamemtimua katibu mkuu wa Yanga aliyeajiriwa hivi karibuni toka Kenya. STRABAG napo pamulikwe. ?i kama ni afisa ajira hapa tz,wakija watu wowote wote wana degree za engineering mmoja toka nchi yeyote nje na mwingine mtanzania,nitampa kazi mtanzania. Vibarua na watu wenye elimu zao wapo kibao hapa Tanzania. Uzalendo kwanza!
 
ukimuamsha alielala?
shule zote za primary za private arusha walimu wengi ni wakenya!
hata mimi nikiwa na shule yangu ya watoto (english medium) nitaajiri wakenya, wabongo wanaojua kingereza wako wapi, unataka waniharibie watoto wangu? watoto wasijeanza kuongea kiingereza cha kiswahili bure.
 
hata mimi nikiwa na shule yangu ya watoto (english medium) nitaajiri wakenya, wabongo wanaojua kingereza wako wapi, unataka waniharibie watoto wangu? watoto wasijeanza kuongea kiingereza cha kiswahili bure.
so huku bongo hatujui kiienglish? kwanza angalia perfomance ya elimu ya bongo toka zimeanza hizi shule za wakenya na enzi za st kayumba?
 
Hamna serikali! Hayo kukoma haiwezekani.
 
hivi jamani, tuseme ukweli, tz ikifungua milango yote, hata kama tukaamua kuliweka suala la ardhi free kwa east africa wote, nani atapata hasara? nchi gani itakuwa kwa kasi kuliko zote katika easta africa hiii? wapi patachanua kuliko kote katika ukanda huu, hebu nielimisheni jamani mimi sikusoma uchumi.

mbona mimi naona hakuna sababu kwa tz kujitenga na easta frica, tufanye tu kama wanavyofanya wenzetu, hata mkenya akija kupata ardhi hapa hawezi kuihamisha, bali atajenga nyumba hapahapa tz, hawezi kwenda kujenga kule, construction industry itakuwa kwa kasi sana, agriculture itakuwa kwa kasi sana na tz kutachangamke kuliko hivi sasa...
 
hata mimi nikiwa na shule yangu ya watoto (english medium) nitaajiri wakenya, wabongo wanaojua kingereza wako wapi, unataka waniharibie watoto wangu? watoto wasijeanza kuongea kiingereza cha kiswahili bure.

we unaona wakenya na waganda wanafahamu kiingereza gan? ungekaa kimya ungeficha upumbavu wako. hujiamin na huna hata hekima. unadanganyika na kiingereza chao kibovu?
 
Uhamiaji ni uozo mtupu, kila commishna ana kitu wanaita chaka!!! Chaka ni mahali anapatia pesa ya hongo!!! Sasa unasema wakenya, mbona hii ni kidogo, ulizia wako wachina wangapi nchini hawana hata vibali wanafanyia kazi katika makazi yetu na uhamiaji wanajua. Ukifika kuwakamata tu basi wanapiga simu kwa vigogo!!!! Hivi tuna usalama wa Taifa nchi hii?
 
Uhamiaji ni uozo mtupu, kila commishna ana kitu wanaita chaka!!! Chaka ni mahali anapatia pesa ya hongo!!! Sasa unasema wakenya, mbona hii ni kidogo, ulizia wako wachina wangapi nchini hawana hata vibali wanafanyia kazi katika makazi yetu na uhamiaji wanajua. Ukifika kuwakamata tu basi wanapiga simu kwa vigogo!!!! Hivi tuna usalama wa Taifa nchi hii?
wachina wahindi na wazungu etc si watu hatari kuliko nyang'au, tusicheze na nyang'au ati...mi nikimkuta mchina wala sina shida naye.
 
Hiyo cha mtoto ngoja mipaka ifunguliwe vizuri...sisi CCM hatuna akili! Aliekuwa ametubebea akili zetu alishazikwa Butiama toka 1999...Chezea BWM wewe...
 
wachina wahindi na wazungu etc si watu hatari kuliko nyang'au, tusicheze na nyang'au ati...mi nikimkuta mchina wala sina shida naye.

Punguza chuki na tumia ubongo wako kufikiri sheria ni sheria tu haijalishi nani ameivunja
 
hata mimi nikiwa na shule yangu ya watoto (english medium) nitaajiri wakenya, wabongo wanaojua kingereza wako wapi, unataka waniharibie watoto wangu? watoto wasijeanza kuongea kiingereza cha kiswahili bure.

we una akili sana, kama vyuo vikuu vyetu vimeleta Kiingereza cha Kikwete na Mulugo! Am pretty sure watoto wa darasa la 2 Kenya wanawazidi hawa watu kwa fluency, semantics and synthax
 
nchi ya ajabu kabisa,wahindi wanatunyea kichwani,waarabu,wazungu,ona sasa hadi wakikuyu eti nao wanatupelekesha,sababu nyingine ya kuikataa ccm.
 
Labda wameleta vibarua kutoka Kenya kwa kuqa sisi tuna maneno mengi lakini vitendo vichache. Nadhani siasa zimetuharibu sana. Haki za binadamu bila kujali wajibu wa mwanadamu. Ikumbukwe wanawake wa Kenya waliootoka Beijing na maazimio yao Moi aliwaambia wayaache uwanja wa ndege kwani alikuwa hataki vurugu. Huku kwetu ukimwuliza mtu ni kwa nini hafanyi kazi anasema unamtongoza au unamnyanyasa na kumnyanyapaa. Terminologies kibao wakati wengine wanachapa kazi. Tunahitaji kubadilika. Haki na wajibu. Mtu anafika ofisi kabla hajaanza kazi anakwenda kunywa chai. Akirudi ana wageni kutoka nyumbani. Mchana anaenda kula. Ikifika saa tisa anaondoka kuepuka foleni ya Dar. When does this person work? Ukimwuliza anakushtaki kwa ndugu yake ambaye ni kigogo somewhere. Wajerumani hawawezi kufanya kazi na sisi kama hatutabadilika. Private sector itaendelea kuajiri foreigners until tumebadilika na kupenda kazi na kuacha ngonjera.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
we una akili sana, kama vyuo vikuu vyetu vimeleta Kiingereza cha Kikwete na Mulugo! Am pretty sure watoto wa darasa la 2 Kenya wanawazidi hawa watu kwa fluency, semantics and synthax

Ha ha haaa! I will start with introdukshoni and I will end with conclushoni. Tanzania is the union of Zimbabwe and Tanganyika. This is the end of my presenteshoni.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom