Kashfa nzito jeshi la polisi singida-wizi

MADORO

Senior Member
Nov 12, 2011
198
117
Jeshi la Polisi Mkoani Singida lipo katika kashfa nzito ya Wizi wa pesa za Watanzania. Jeshi la Polisi Mkoani humo limejenga Jengo la Ghorofa mbili, eneo la FFU kule Manguanjuki, na Jingine Jengo lililopo mjini karibu na ofisi za Usalama wa Taifa. Majengo mawili makubwa yamejengwa bila Zabuni kutangazwa, yanajengwa bila mkandarasi, yanajengwa na wafungwa, yamekaribia kukamilika, hatujui yana kiwango gani, yamekaguliwa na nani. Leo asubuhi wametangaza Zabuni. Makandarasi nendeni Singida mkashindanie majengo yaliyokamilika. Majengo haya yamejengwa kinyume cha taratibu za majengo ya Serikali, au majengo yanayojengwa mjini, yanayoonyesha Mkandarasi, Consultant, au Ruhusa ya Kujenga (Building Permit), na Kibali cha CRB. Kama polisi ni wezi vile wanakamata watu kwanini? ............... Kazi kwenu watanzania. Endeleeni kusubiri kuja kuunda kamati teule kwa mambo yanayoonekana yamefanywa kuwanufaisha vigogo. Waziri wa mambo ya ndani ulitembelea majengo haya umenyamazishwa. Tuambie kulikoni?. Zabuni imetangazwa leo wakati majengoyamejengwa yana miaka miwili. Ovyooooooooooooooooooooooo
 
Hivi Singida kuna nini jamani? Mbona malalamiko mazito hivyo yanatokea na hatusikii nini kimefuatia? Kila kukicha kumekuwa na mambo ya ajabu mazito kwa viongozi wa Serikali. Hebu mulikeni huko..... Ujinga umezidi huko, wenye wajibu wa kushughulikia haya msijifanye hamuoni. Fikeni ulizeni kwanini Tenda/zabuni imetangazwa leo wakati majengo watu wanakaribia kuanza kuishi. Aibu kabisa, majengo yamekamilika pengine yapo chini ya viwango, ndo zabuni inatangazwa. Hao watu wana serikali yao ndo maana kila siku malalamiko.
 
Itakuwa inshu ya muhasibu wa polisi mkoa na rpc mama Kaluba.ila yule mhasibu yupo pale kwa maslahi ya wakubwa walioko makao makuu ya polisi kimsingi ni ana sauti kuzidi hata mama rpc!
 
Hivi Singida kuna nini jamani? Mbona malalamiko mazito hivyo yanatokea na hatusikii nini kimefuatia? Kila kukicha kumekuwa na mambo ya ajabu mazito kwa viongozi wa Serikali. Hebu mulikeni huko..... Ujinga umezidi huko, wenye wajibu wa kushughulikia haya msijifanye hamuoni. Fikeni ulizeni kwanini Tenda/zabuni imetangazwa leo wakati majengo watu wanakaribia kuanza kuishi. Aibu kabisa, majengo yamekamilika pengine yapo chini ya viwango, ndo zabuni inatangazwa. Hao watu wana serikali yao ndo maana kila siku malalamiko.

Msijali hiyo ni zabuni ya kukagua majengo yaliyokamilika! :p teheheh! Kweli Bongo tambaleee!
 
Haya mambo yalishawahi kunitokea nilikua nasikilizia nafasi za jeshi walipotoa tangazo tu kwenye gazeti kumbe watu walikua washajiunga kama wiki mbili zilizopita na wanapiga kwata kunduchi mtongani
 
Hi Serikali hovyo kabisa!!! Kazi kufuatilia Halmashauri tu!!! Wanafiki wakubwa hawa.. wanachuja mbu na kumeza ngamia!!!!!
 
[h=1] (Mleta mada angeleta tangazo lillilojazwa vizuri kama guidelines zilivyohapa chini mjadala ungependeza sana)[/h] [h=1] [/h] [h=1] [/h] [h=1] [/h] [h=1] [/h] [h=1] [/h] [h=1] [/h]






[h=1] [/h] [h=1] [/h] [h=1]SECTION I: INVITATION FOR BIDS[/h]

[Insert Name of Procuring Entity]​
[Insert logo]
Bid No. …………………….
for
[Insert title or brief description of the works]

Invitation for Bids

Date: ……………………………………….
1. This Invitation for Bids follows the General Procurement Notice for this Project which appeared in [insert media] Issue no.[insert the issue No] dated [insert dates of issue of GPN].
2. The Government of Tanzania has set aside funds for the operation of the [insert the name procuring entity] during the financial year (insert the year under financing). It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under the contract for the [insert the name of the contract] or
The [insert name of Procuring Entity] has received/has applied for/intends to apply for a [loan/credit /grant] from the [name of financing institution] towards the cost of [insert name of project], and it intends to apply part of the proceeds of this [loan/credit/grant] to cover eligible payments under the contract for [insert name. of the contract]. 3. The [Insert the name of the procuring entity] now invites sealed bids from eligible[insert "National" if exclusive preference is applicable) contractors registered in (Insert Classes of the contractor) for construction of [insert brief description of the works to be procured]

  1. Bidding will be conducted through the [insert method of procurement] procedures specified in the Public Procurement (Goods, Works, Non Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations, 2005 – Government Notice No. 97 and is open to national Bidders only as defined in the Regulations unless otherwise stated in the Bid Data Sheet.
5. Interested eligible Bidders may obtain further information from and inspect the Bidding Documents at the office of the [Insert the Physical, and postal address of the Tender Board' Secretary of the procuring entity] from [start and end of working hours] on Mondays to Fridays inclusive except on public holidays. 6. A complete set of Bidding Document(s) in [insert language of the bid document] and additional sets may be purchased by interested Bidders on the submission of a written application to the address given under paragraph 5 above and upon payment of a non-refundable fee of [insert the currency and amount]. Payment should either be by Cash, Banker's Draft, or Banker's Cheque, payable to [state organ to which payments are to be made].
7. All Bids must be accompanied by a Bid security [if Bid security is required] in an acceptable form in the amount of [insert the amount in local currency] or freely convertible currencies in case of foreign Bidders. or
All bids must be accompanied by a bid securing declaration in the format provided in the Bidding documents.


  1. All bids in one original plus [Insert the number of copies required], properly filled in, and enclosed in plain envelopes must be delivered to the address below [state address at the end of document] at or before [insert time and date]. Bids will be opened promptly thereafter in public and in the presence of Bidders' representatives who choose to attend in the opening at the [insert the physical address of the place for bid opening].

9. Late bids, portion of bids, electronic bids, bids not received, bids not opened and not read out in public at the bid opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstance.
SECRETARY
[Insert the Tender Board of the procuring entity]
 
Back
Top Bottom