Kashfa nyingine ya Mh. Lowasa ni nini?

Kashfa nyingine ya Mh. Lowasa ni nini?

Pengine inaweza isiwe kashfa ya moja kwa moja ya Ufisadi lakini kwa kuwa swali ulilouliza ni kuhusu 'kashfa nyingine ya Mh. Lowassa ni nini'? Nitakueleza.

1. Matumizi mabaya ya Madaraka:
Kwa jutumia cheo chake aliwahi kuwatisha
-Aliyekuwa kiongizi mmoja wa TBL baada ya kuorder kreti 500 za bia kwa sherehe yake binafsi, bila ya malipo kwa kutuma ki_note kisemacho "nashukuru kwa msaada wako wa kreti 500 za bia"(ushahidi upo)

Kulazimisha ufaulu wa mwanae(MUCHS) na mdogo wa mkwe wake(MUHAS) waliokuwa wakisoma Chuo kikuu cha Afya na Tiba ya Sayansi Muhimbili.(ushahidi pia upo)


2. Afya yake:
Huwa ninafurahi ninapomuona Obama takribani mara zote anaposhuka au kupanda ndege yake kuwa na uchangamfu fulani na kuonyesha uimara wake kiafya. Siombi/wala kusema ni lazima Mh. Lowassa nae afanye hivi(ofcourse kuna picha zipo akifanya "mazoezi"), lakini ninachokisema Afya ya "the white" ni mgogoro, hili twalijua hata kupunga mkono kwa nguvu tu bado ni shida.

Ongeza zifuatazo:-

1. Kashifa ya Wizi wa shilingi bilioni 675 pesa za Wananchi kupitia kampuni inayoongozwa na mtoto wake Fred Lowasa akishirikiana na akina Rostam. VODACOM SCANDAL ya kuuza Vocha za Simu.

2. Kutumia fedha kuhonga Watu ili waonyeshe kuwa wanampenda awe Raisi. Angalia ushahidi huu,

http://youtu.be/Q5Kf7Y6vt9w
 
Alipokuwa waziri wa ardhi wakishirikiana na meya wa wakati huo Kitwana Kondo waliuza maeneo ya wazi DSM, mnazi mmoja chupuchupu ni Mtikila aliokoa jahazi kwa vurugu zake pale
 
Mzee Ngoyai hajawahi kuwa na kashfa. Ni uzushi wa na chuki iliyokithiri juu yake.
 
Duh.. Watu kwa kuzusha hawajambo, pumbav wanatumika, jingne eti ushahhdi upo peleka mahakaman, sindano....
 
lowasa ni tagiri tangu babu yake msikurupuke tuulizeni tunao pajua kwao munduli aisee
 
Pengine inaweza isiwe kashfa ya moja kwa moja ya Ufisadi lakini kwa kuwa swali ulilouliza ni kuhusu 'kashfa nyingine ya Mh. Lowassa ni nini'? Nitakueleza.

1. Matumizi mabaya ya Madaraka:
Kwa jutumia cheo chake aliwahi kuwatisha
-Aliyekuwa kiongizi mmoja wa TBL baada ya kuorder kreti 500 za bia kwa sherehe yake binafsi, bila ya malipo kwa kutuma ki_note kisemacho "nashukuru kwa msaada wako wa kreti 500 za bia"(ushahidi upo)

Kulazimisha ufaulu wa mwanae(MUCHS) na mdogo wa mkwe wake(MUHAS) waliokuwa wakisoma Chuo kikuu cha Afya na Tiba ya Sayansi Muhimbili.(ushahidi pia upo)


2. Afya yake:
Huwa ninafurahi ninapomuona Obama takribani mara zote anaposhuka au kupanda ndege yake kuwa na uchangamfu fulani na kuonyesha uimara wake kiafya. Siombi/wala kusema ni lazima Mh. Lowassa nae afanye hivi(ofcourse kuna picha zipo akifanya "mazoezi"), lakini ninachokisema Afya ya "the white" ni mgogoro, hili twalijua hata kupunga mkono kwa nguvu tu bado ni shida.
Duuh! Mkuu hiyo no 2 mbona kama ni out of topic, inahusishwaje na ufisadi?
 
Pengine inaweza isiwe kashfa ya moja kwa moja ya Ufisadi lakini kwa kuwa swali ulilouliza ni kuhusu 'kashfa nyingine ya Mh. Lowassa ni nini'? Nitakueleza.

1. Matumizi mabaya ya Madaraka:
Kwa jutumia cheo chake aliwahi kuwatisha
-Aliyekuwa kiongizi mmoja wa TBL baada ya kuorder kreti 500 za bia kwa sherehe yake binafsi, bila ya malipo kwa kutuma ki_note kisemacho "nashukuru kwa msaada wako wa kreti 500 za bia"(ushahidi upo)

Kulazimisha ufaulu wa mwanae(MUCHS) na mdogo wa mkwe wake(MUHAS) waliokuwa wakisoma Chuo kikuu cha Afya na Tiba ya Sayansi Muhimbili.(ushahidi pia upo)


2. Afya yake:
Huwa ninafurahi ninapomuona Obama takribani mara zote anaposhuka au kupanda ndege yake kuwa na uchangamfu fulani na kuonyesha uimara wake kiafya. Siombi/wala kusema ni lazima Mh. Lowassa nae afanye hivi(ofcourse kuna picha zipo akifanya "mazoezi"), lakini ninachokisema Afya ya "the white" ni mgogoro, hili twalijua hata kupunga mkono kwa nguvu tu bado ni shida.

Mkuu, siku hizi hata afya ya mtu inaitwa Kashifa.
Ignorance at its best level.
 
Back
Top Bottom