<br />hii inaelekea nchi nzima...na sisi huku kijijini tunataka bei ya mafuta ya taa ishuke
We unadhani tatizo hili ni la Dar tu?! Nipo Morogoro nimeona Lake Oil ndo wanauza mafuta .KAMA UNATOA SOLUTION JIKITE KWA TANZANIA YOTE. Me nasema vijana Tanzania yote tuhamasishane kupitia FB na JF Kila mkoa tupange meeting point kwa ajiri ya kufanya maandamano makubwa.
hatutaki uhuni tanzania.
Serikali iwache biashara iwe huria.
Wanaopiga mawe wakome mara moja.wasituharibie swaumu zetu
Amezongwa na ugeni kutoka Somalia sio? Kweli, hio ni issue muhimu sana kwa nchi yake
Mkuu uko sahihi kwa hili. Hata mtoto anapodokoa ukimkanya huacha, lakini ikiwa utanyamaza ataendelea kudokoa tu. Kazi ipo kweli kweli.Huu Ni mtazamo for those who cant think loudly around issues!!!!, narrow minded person anaeendeshwa na ushabiki usiokuwa na maana. Watendaji sisi hatuwatambui.
Sisi tunawatambua viongozi wa kisiasa, kwani wao ndo wamepewa dhamana ya kusimamia mali za watanzania, wakawateua watu ambao wao wanawaamini, sasa kama hawatendi kwa mujibu wa matarajio ya watanzania kwa nini hawawawajibishi?
Hatuwezi kuwalaumu watendaji hata siku moja, kwa kuwa sisi hatuwajui na wala hatujawapa hiyo kazi.
Umenisoma bwana mzee!!!. Sisi tutaendelea kulia na viongozi wa kisiasa, wanao wakabidhi usimamizi wa mali zetu hawa watu wanaoshirikiana kula nao, matokeo yake ikifika wakati wa kuchukua hatua serikali inakuwa na kigugumizi.
jamani tusivunje hii amani yetu tuliyopewa na Mungu
tuanze kuandama hapa jf...
Miimi bango langu linasema
mafuta hakuna
umeme mgao
shilingi haina thamani
hatuna imani na selika
selikali ijizuruuuu