JAMES MDIMA
Member
- Aug 5, 2011
- 27
- 2
Ndio maana yake!Baelezee!
Haaa haaa mkuu mbona wachekesha.. mawazo mgando kwa vipi wakati wewe hufanyi chochote! part gani unaplay ktk yote haya maana siasa sio kazi yako. Huko kusema saana wamesema wabunge na viongozi wa vyama vya Upinzani sehemu ambazo ujumbe utafika na kufanyiwa kazi, wewe Mdanganyika unataka kusema nini tena na ili ufanikishe kipi.<br />
<br />
Kaka vipi...utafananishaje zama za nyerere na zama hizi za sasa hivi? Kelele na hofu ya ccm kuhusu maandamano ya chadema vinatoka wapi? Kwani wewe unaishi wapi mpaka usione uthubutu wa watu umeongezeka? Mawazo mgando kama yako wanayo wazee wengi wa ccm.,..!
Huu ukweli ni upi hasa?.Hebu uweke hapa tuone iwapo mimi au wewe ndiye ninayefikiri kwa hicho kitu ulichosema ni kichafu.duh! ndugu yangu hata nikisema watu kama nyinyi mnafikiria kwa kutumia mkalio nitakuwa nawasifia tu !nadhani watu kama nyinyi mnatumia kitu kichafu kabisa kufikiria! yaani kwa sababu wamiliki wengi wa vituo vya mafuta i ni waarabu waislam basi unaona kama vile wanatengenezewa zengwe kwenye hii issue ya mafuta!
kwanini nyinyi watu hamuishi kulalamika hata kwenye ukweli ulio uchi kabisa?
mara utasikia ooh serikali ina mfumo kristu.....lakini hapohapo mnai support kwa nguvu zenu zote serikali eti kwa sababu rais ni muislam! yaani kitu hichohicho mnakipinga ...na kuki support pia!
mbona akili zenu kama za misukule tu nyinyi watu?
nendeni shule bana...mnaturudisha nyuma sana! pambaf!