Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
- Thread starter
- #21
hapa wanatafuta fedha za sadaka tu
54325 nafikiri itakuwa hivi mkuu mzizi mkavu.
kama ni kweli basi anaweza kuunda bomu huyu.
sasa hili gari au grossary?
huyu roho imeshakuwa ya mbao tena.
kaka utaniua kwa kicheko hapa duh.
Unakumbuka hiyoooooooooooooo wakati wa shule...................
Zitakuwa dawa za Kichina bila sahaka. Hatari sana kinadada, ridhikeni na maumbile aliyowapa Mwenyezi Mungu
wa mbele ni mchina