Kasema tukapime,bila kujua ye ndo possitive.

Kasema tukapime,bila kujua ye ndo possitive.

Huh! its work kumbe unaweza kulala na bundi ukaamka mwenye bahati dah!

najiuliza ni kitu gani kilisababisha usipate maambukizi muda wote uliokuwa naye, niki-assume we ni kijana.
Kuna baadhi ya vipimo si vizuri, vinachanganya, kwa mfano mtu anaugua kifua kikuu bila hiv anaweza kuonekana mgonjwa wa hiv.
Jaribu kupima tena na mwenzako. Kama anao, cheza bahati nasibu yoyote, maana kwa bahati yako utashinda tu.
 
Hukupata maambukizi muda wote mliokuwa mkijirusha bila kinga, kwa nini udhanie kwamba unaweza kupata maabukizi sasa? Kuna watu miili yao kamwe haiwezi kupata maambukizi ya Ukimwi, labda na wewe ni mmoja wao. Endeleza tu cha peku.

Wewe jaman acha kumdanganya mwenzio!yuko juu ya moto then unamwambia aendelee kukalia mhh!
 
Baada ya kutembea kwa mda bila kujikinga,mwenzangu mara ei akaamua tukacheki afya zetu.Kweli tukaenda ila majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE MI NEGATIVE.Hakuweza kuamini.Baada ya hapo akasema najua huu ndo mwiso wetu mi na wewe ila naomba usimwambie mtu.Mi nikasema siwezi kukuacha na simwambii mtu.Baada ya hapo nikawa natembea naye kwa kujikinga,ila nimeanza kupunguza kumuona sio kama zamani na nina nia ya kumkwepa kabisa,je nitaanzaje na ye anahisi ndo mwisho wa kuwa mtu kwani alinambia nikimuacha atajiua.

kwanza kabisa nikupe hongera kwa kwenda kupima ila sio swala la kushabikia kuwa kasema tukapime bila kujua yeye ndio positive ni hatari sana kwani huwezi kusema na wewe umesalimika moja kwa moja kwani inatakiwa upime mara tatu halafu ndio utapata uhakika pia jaribu kumtunzia mwenzako siri kwani hakupenda kuwa hivyo imagine ingekuwa ni wewe hivyo usianze kuwaeleza watu kwani wataanza kumnyanyapa hata mimi ilinipa tabu sana jana siku ya JUMAMOSI kwani mimi na mpenzi wangu tuliamua kwenda kupima ila namshukuru mungu majibu yametoka tuko salama pamoja na kwamba tunatakiwa turudi tena tare 14 mwezi wa nne mwaka 2014 ila ilitupa shida sana kwani baby wangu alisema kuwa hataki kuendelea kuwa na mimi endapo atajikuta yuko positive hivyo ikatulazimu kila mmoja kupewa counselling kivyake na baada ya hapo tukaenda kupima doctor alipoona majibu yetu mazuri ndio akatuita kwa pamoja badala ya mmoja mmoja kama mwanzoni na kuanza kupewa ushauri.hivyo endelea kumheshimu sana na usimkimbie hata kama hutaki kuendelea kuwa naye unaweza kumweleza kistarabu na natumai atakuelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom