kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Himidi ni jambazi polisi wachukue hatua za kisheria hakuna kumchekea tumechoka kufuga majambazi.
Na malima ulimwita nani au unamwita jina gani hadi sasa pale alipobainika kuwa alikuwa na SMG na bastora pale Morogolo na kuibiwa vyote?