GE2025 Karimu Chipola: Rais Samia ameboresha maisha yetu

GE2025 Karimu Chipola: Rais Samia ameboresha maisha yetu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,398
Reaction score
14,520
"Namshukuru sana Rais Samia Suluhu Hassan na Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi CCM kwa kazi kubwa aliyoifanya hasa kugusa maisha ya wakulima na kutukwamua kiuchumi. Ni Rais pekee ndani ya kipindi cha miaka minne na Nusu ameweza kutugusa sisi kwa kuboresha maisha yetu. Aliweza kufanya uthubutu wa kutoa pembejeo za zao la korosho za Bil 763 jambo ambalo halijawahi kutokea hapa nchini" Karimu Chipola- Mwenyekiti TANECU LTD

Soma > Mwenyekiti wa TANECU, Karimu Chipola amuombea kura Mgombea Urais CCM Rais Samia

1758870341605.png
 
Hongera nyingi kwake na hao wenzake wote walio boreshewa maisha yao na Mh. Rais.
 
Back
Top Bottom