Karim Rehmtullah nilisoma naye Shaaban Robert Secondary mwaka 1984 hadi 1987. Alikuwa rafiki yangu sana. Tumepotezana tokea tumemaliza O-level. Bibi yake ndiyo alikuwa anamiliki ghorofa fulani Uhuru Street linaitwa “Mary Martis”. Naomba kwa wanaomjua wanitonye mshikaji yupo wapi. Asanteni.