Karibuni sana UKAWA tuangalie TBC1

Karibuni sana UKAWA tuangalie TBC1

Rich Pol

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
7,877
Reaction score
5,694
Karibuni sana wana ukawa bila kukawia tuangalie sana TV pendwa ya taifa letu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, japo mnajifanya hamuipendi lakini mkiwa majumbani mwenu mnaingalia na kufuatilia mchakato mzima wa bunge la katiba hasa katika kipindi hiki cha kuhesabu kura, najua mawasiliano yakikata nyie ndiyo wa kwanza kufungua thread hapa ya kulalamika, najua mnaipenda sana TBC1 japo mdomoni mnaiponda, karibuni sana tuangalie TV yetu pendwa ya Taifa msione aibu.
 
Asante bana. Ngoja muumbuke. Mungu akaufanya moyo ccm kuwa mgumu kama farao ili ukawa wawaokoe watz(lema)
 
Ivi mbona ma ccm hamna akili kiasi hicho...kwanza pumbaffff kabisa mmekula pesa yangu bure kabisa
 
Nalipa kodi kubwa sana wewe kenge alafu ninyi mnajipendekeza kula tu pesa yangu

Mbona ruzuku wanaenda kutanulia dubai na israel mnakosa confidence ya kuhoji mpaka mnatolewa vyombo kwa kukosa hela ya pango elf 55 tu?
 
Nimeangalia kupitia Star TV. nani afungulie TBC?
Karibuni sana wana ukawa bila kukawia tuangalie sana TV pendwa ya taifa letu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, japo mnajifanya hamuipendi lakini mkiwa majumbani mwenu mnaingalia na kufuatilia mchakato mzima wa bunge la katiba hasa katika kipindi hiki cha kuhesabu kura, najua mawasiliano yakikata nyie ndiyo wa kwanza kufungua thread hapa ya kulalamika, najua mnaipenda sana TBC1 japo mdomoni mnaiponda, karibuni sana tuangalie TV yetu pendwa ya Taifa msione aibu.
 
Mbona ruzuku wanaenda kutanulia dubai na israel mnakosa confidence ya kuhoji mpaka mnatolewa vyombo kwa kukosa hela ya pango elf 55 tu?

Out of Topic....Hata kama kodi Yangu ingetumiwa na chadema na viongozi wa chadema vyovyote vile ni sawa kwa sababu naiona kazi wanayoifanya

Sio ninyi majizi msio na haya..wanahizaya nyie...mliokosa radhi za waasisi wa taifa...
 
Out of Topic....Hata kama kodi Yangu ingetumiwa na chadema na viongozi wa chadema vyovyote vile ni sawa kwa sababu naiona kazi wanayoifanya

Sio ninyi majizi msio na haya..wanahizaya nyie...mliokosa radhi za waasisi wa taifa...

Mkuu kweli huna shukran ccm imekusomesha na kukukuza mpaka leo umefikia hapo ulipo unaongea, je nchi hii ingekuwa kama congo au africa ya kati si ungekufa kabisa?
Mkuu nikuambie ukweli ukawa wako kimaslahi zaidi ndiyo maana mpaka leo hakuna mwenye mamlaka ya kuhoji mapato na matumizi, jaribu kama hawajakuita msariti.
 
Japo Mungu aliachia ma vyura,na majanga mbalimbali,msema kweli fimbo ya Haruni Ukawa ndiyo Tegemeo Letu,Pamoja tunaweza,Lema Tufe tukihitaji furaha na Amani ktk Tanzania tuliyoachiwa na Baba yetu Muasisi Mwl jk,siyo ma Dr Fake ndiyo mqana wanaua nchi yetu.
 
Hakuna kitu hicho? Kama unataka angalia tena, Picha utakayoona wakati huo toka TBC ni tofauti na Star TV, Sauti tofauti, za TBC hafifu za Star TV Clear, Star
Mkuu StarTV wanachukua kutoka TBC1 .
 
Mkuu kweli huna shukran ccm imekusomesha na kukukuza mpaka leo umefikia hapo ulipo unaongea, je nchi hii ingekuwa kama congo au africa ya kati si ungekufa kabisa?
Mkuu nikuambie ukweli ukawa wako kimaslahi zaidi ndiyo maana mpaka leo hakuna mwenye mamlaka ya kuhoji mapato na matumizi, jaribu kama hawajakuita msariti.

CCM haijawahi kunisomesha mimi wewe kenge

CCM imenisababishia nimeshindwa kwenda shule kwa sababu hakukuwa na shule kijijini kwetu.

Shule ilikua umbali wa kilometa 25 na kutokana na umasikini wa wazazi wangu ambao CCM imeusababisha nilishindwa kusoma.

CCM hii hii imesababisha mtoto wangu wa kwanza kufariki wakati mama yake anajifungua kwa sababu pale kituo cha afya hakuna umeme hakuweza kufanyiwa upasuaji.

CCM imesababisha mimi kuhangaika kubeba mizigo kwenye magari ya wazambia hadi angalau sasa nimeweza kusoma english course....

CCM imesababisha maumivu makubwa sana kwamba sasa hata kipato kidogo ninachopata wanachukua kama kodi....alafu wanatia mifukoni mwao
 
CCM haijawahi kunisomesha mimi wewe kenge

CCM imenisababishia nimeshindwa kwenda shule kwa sababu hakukuwa na shule kijijini kwetu.

Shule ilikua umbali wa kilometa 25 na kutokana na umasikini wa wazazi wangu ambao CCM imeusababisha nilishindwa kusoma.

CCM hii hii imesababisha mtoto wangu wa kwanza kufariki wakati mama yake anajifungua kwa sababu pale kituo cha afya hakuna umeme hakuweza kufanyiwa upasuaji.

CCM imesababisha mimi kuhangaika kubeba mizigo kwenye magari ya wazambia hadi angalau sasa nimeweza kusoma english course....

CCM imesababisha maumivu makubwa sana kwamba sasa hata kipato kidogo ninachopata wanachukua kama kodi....alafu wanatia mifukoni mwao

Sasa mkuu unadhani hawa waroho wa madaraka watakusaidia nini zaidi ya kujinugaisha wao kwa wao poa wanavuruga amani kwa kutujaza chuki mioyoni mwetu na kuondoa upendo uliojengeka baina yetu, fikiria hata kuongoza familia zao tu zimewashinda hawawezi hata kumiliki wake sugu nae ametelekeza mke na mtoto leo nina imani anampango wa kupora mke wa mtu. Je ni picha gani wanaonyesha kwetu kama nyumba tu kuiongoza je nchi wataweza kuiongoza?
 
Sasa mkuu unadhani hawa waroho wa madaraka watakusaidia nini zaidi ya kujinugaisha wao kwa wao poa wanavuruga amani kwa kutujaza chuki mioyoni mwetu na kuondoa upendo uliojengeka baina yetu, fikiria hata kuongoza familia zao tu zimewashinda hawawezi hata kumiliki wake sugu nae ametelekeza mke na mtoto leo nina imani anampango wa kupora mke wa mtu. Je ni picha gani wanaonyesha kwetu kama nyumba tu kuiongoza je nchi wataweza kuiongoza?

Ninachojua ni kwamba kinachosababisha UMASIKINI WA WATANZANIA Ni sera mbovu za CCM...GHicho unachosema chuki hakipo......Ni kwamba ukweli ni kuwa nyie ni wezi wa kutupwa.....Mkiambiwa hivyo sio chuki hio nyie ma maku

Mkuu...Kodi inauma mkuu....Nikiangalia ninavyolip[a alafu maku kama wewe unaenda tu kuila ...hakyamungu lazima one day mtajuta...Tutachoma nyumba zenu moto wewe subiri tu
 
Ninachojua ni kwamba kinachosababisha UMASIKINI WA WATANZANIA Ni sera mbovu za CCM...GHicho unachosema chuki hakipo......Ni kwamba ukweli ni kuwa nyie ni wezi wa kutupwa.....Mkiambiwa hivyo sio chuki hio nyie ma maku

Mkuu...Kodi inauma mkuu....Nikiangalia ninavyolip[a alafu maku kama wewe unaenda tu kuila ...hakyamungu lazima one day mtajuta...Tutachoma nyumba zenu moto wewe subiri tu

Mkuu najua una hasira baada ya kujazwa chuki na kuamini kila wanachowafanganya.
Hakika wamefanikiwa kiwapata vijana kama wewe pole sana kwani hujui behind the scene.
Zambia nao walifurahi sana baada ya Michael Satta kushinda uchaguzi, angalia sasa uchumi umeshuka na ahadi walizoahidiwa hazijatekelezwa hata moja.
Wanajuta sasa .
Ndiyo hawa waongo watupu wao kwa wao wanaishi kama paka na panya shtuka mkuu achana nao.
 
Back
Top Bottom