Nakumbuka kuna daraja moja kule kwetu lilikuwa la mbao ka hivo halafu chini kuna reli nilikuwa naogopa kulivuka acha halafu ukute upande wa ubao umengofoka lazima uone kizunguzungu ukikatishaaa
Mkuu aaaa hapo siji hata kwa mzinga maana hapo naona kama kule kunako uwana watu kila kukicha kunakoitwa taaleban maana huko kuna kila aina ya maharamia akina boko haram na al kaeeda na ali shababu ni bora nibaki huku huku na dona langu na mrenda na kipande cha papaa wa kuchoma
Hahahahahaaa! Unaogopa tu, kuna siku tulimkuta mwizi geto, ile kutuona akaanza kusepa na kuelekea kwa daraja hilo! Kudadadeki, alipita kama yuko uwanja wa mpira!
Hata nishikiwe bunduku sivuki ng'o!