Karibuni kwenye misa ya Kanumba siku

Karibuni kwenye misa ya Kanumba siku

Gomesa

Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
23
Reaction score
1
Wale wapenzi wa filamu za Tanzania, haitakuwa vibaya kama kwa pamoja tukajitokeza siku ya misa ya nguli wa filamu ambaye aliweza kutikisa vizuri katika tasnia hiyo marehemu Steven Kanumba, ambayo itafanyika siku ya jumapili jioni pale Leaders Club. Lakini Misa hiyo pia itafanyika kanisani..... By Soma
 
Nyie bakeni watoto wa watu, mfe kwenye harakati zenu za ngono na kutegemea mkishakufa kuna misa ya kuwaosha makosa yenu.

Mtasoma misa mia
 
Lulu alialikwa kwenye misa ya mwenzie au bado mnamtenga?
 
Wataenda haohao wasiokuwa na kazi ya kufanya, mi sina muda wa kwenda kukutana na wakaa uchi!
 
Back
Top Bottom