Karibuni kanisani kwa Gwajima hapa Kibo!!

Karibuni kanisani kwa Gwajima hapa Kibo!!

Mimi ni vijana wenzangu kama 6 hivi tupo haya maeneo ya Turwa shuleni mjini TARIME tunasubiria watu wajae road! Tumeficha mapanga na mishale yetu kwenye maua ya shule. Sisi tumetoka kwa ajili ya kulipa kisasi kwa policcm kwa kutulia marafiki zetu. Jamaa angu mmoja niko nae hapa baba ake aliuawa wakati yeye akiwa kituoni. Yaani hata mazishi hakuhudhuria! Ana hasira balaa. Ila sasa wanaTarime wanatuangusha! Yaani tumekaa hapa tangu saa 3 tunasubiri wajae lakini hakuna mtu! Polisccm wakipita wanatunyooshea vidole! ACHENI UWOGA WANATARIME.
 
Code imeeleweka Sogeeni kanisani kwa Gwajima muda huu hapa neno linatupita

Kama upo Dsm fanya kusogea kanisani kwa Gwajiboy Chaaap

Soon tunaanza ibada tupo wengi
Mtuombee tuliopo nje ya nchi Mkuu
 
Back
Top Bottom