sasa atakulaani kwa kosa lipi
yeye amesema hata ktk vitabu vyake kuwa Ametuumba sisi tukiwa ni wenyemamlaka juu ya wadudu na wanyama wote?
Na hawa jamaa hapa sijawahi sikia eti mtu kagingwa na nyoka wala chatu,nge wala tandu,konokono wala mbwa,vyote ni peleka pwani,na maendeleo yao si ya kitoto,wapo juu kweli kwa kutoacha kitu nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.